Elections 2015 Uhamiaji kuchunguza uraia wa Zitto

Elections 2015 Uhamiaji kuchunguza uraia wa Zitto

Interesting......Slaa anaibomoa CHADEMA Zitto anachunguzwa uraia....
CCM wanaendelea na kampeni....Lipumba ka quit....

Whoever is behind all this ni 'genius' wa mikakati...
Baaada ya jana kuisimamisha Dar leo mafuriko yanaingia mji kasoro bahari na saa hii yuko Ruaha.
 
Ukweli kuhusu uraia wa kabwe zuberi zitto ,hili jina KABWE hasili yake ni Kongo,na pia Sauda salum huyu ni mamayake mdogo kabwe. kuthibitisha hilo ni kuwa salum ni mume wa SAUDA (marehemu) baba yake kabwe anaitwa ZUBERI ambaye kwa sasa ni marehemu,Salum si babayake (kabwe zitto zuberi) hata ukichunguza hapo kwenye majina yake hakuna jina SALUM.kwani ni kawaida ya mtoto kutumia jina la baba.
ujio wa KABWE.
uchunguzi unasema babayake KABWE (bwana zuberi) alikimbia kutoka Kongo kama mkimbizi na alikimbilia Tanzania kwa mamayake mdogo na bwana KABWE ambaye pia ni mdogowake mkewe kama mkimbizi.Bwana KABWE Aliletwa Tanzania 1980,baada ya miaka miwili zuberi alikutwa na mauti.bwana kabwe alianza darasa la kwanza Kigoma Primary School Primary Education 1984 mpaka alipofika kwa sasa kwa ufupi.bila kufahamika kuwa ni mkongo.
 
Ndio maana kuna wakati alienda kaongea na waasi wa Kongo na wanamheshimu sana.!
 
Uhamiaji wafanye haraka na ikigundulika ni kumsafirisha haraka kwenda katika nchi yake ya asili.
 
Zitto ni Mtanzania ila kujua chibuko la mtu ndiyo historia yenyewe.
 
Akizungumza kwenye moja ya mikutano ya kampeni Kigoma, mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Anna Mghwira amesema, anawashangaa Uhamiaji leo kuanza kuchunguza uraia wa Zitto wakati ameshawahi kuwa mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Habari zaidi soma gazeti la Majira la leo.

Watanzania ni viroba aisee,Sasa ccm wamezidiwa wameanza kunzisha vitu vya kutuacha tunalumbana tunasahau tunatakiwa tuzidi kuhamasishana kutoichagua ccm stuken bana.
 
Wamuache kwanza Kabwe ni baba wa mdogo wake Zitto. Wakichukua vipimo vya DNA Zitto atasalimika kama Kabwe muuza vitenge ni mcongo

Wewe hebu njoo kule unipe hili in full na lile nililo kutuma
naona kuna missing infos
 
Zitto anatakiwa kurejeshwa pande za Lubumbashi kuna ndugu zake kibao.

Ukweli kuhusu uraia wa kabwe zuberi zitto ,hili jina KABWE hasili yake ni Kongo,na pia Sauda salum huyu ni mamayake mdogo kabwe. kuthibitisha hilo ni kuwa salum ni mume wa SAUDA (marehemu) baba yake kabwe anaitwa ZUBERI ambaye kwa sasa ni marehemu,Salum si babayake (kabwe zitto zuberi) hata ukichunguza hapo kwenye majina yake hakuna jina SALUM.kwani ni kawaida ya mtoto kutumia jina la baba.
ujio wa KABWE.
uchunguzi unasema babayake KABWE (bwana zuberi) alikimbia kutoka Kongo kama mkimbizi na alikimbilia Tanzania kwa mamayake mdogo na bwana KABWE ambaye pia ni mdogowake mkewe kama mkimbizi.Bwana KABWE Aliletwa Tanzania 1980,baada ya miaka miwili zuberi alikutwa na mauti.bwana kabwe alianza darasa la kwanza Kigoma Primary School Primary Education 1984 mpaka alipofika kwa sasa kwa ufupi.bila kufahamika kuwa ni mkongo.
 
Mbona hata mbowe ni mkikuyu ila tumemchunia tu.
 
Ha ha haaa wanatubadilishia CD hawana lolote hawa. Huyu zito ambaye mabest wake ni usalama leo mnasema?:Eti......? Saa ya mabadiliko ni sasa
 
Kabisa. Nilishasema hapa kuwa huyu jamaa ni mkongoman. Hata tabia zake ?????

maalim seif je?
Lowasa sio mkaburu?
Kuna vitambulisho vya taifa hili?
General ulimwengu?
 
Kiongozi mkuu wa chama Mrundi hii hatari, mfano angegombea urais na kushinda tungekuwa na rais mwenye uraia wa utata, Mungu apishie mbali.
Unasemaje? mrundi? Ana viashiria gani vya Unkurunziza?
 
kama anachunguzwa sioni tatizo naamini ukweli utajulikana ila mikoa ya mipakani wahamiaji wengi wanajipa uraia hasa nikikumbuka wakati wa operation ya wahamiaji haramu alivyokuwa anatetea wahamiaji haramu inawezekana kuna ukweli
 
Back
Top Bottom