Baaada ya jana kuisimamisha Dar leo mafuriko yanaingia mji kasoro bahari na saa hii yuko Ruaha.Interesting......Slaa anaibomoa CHADEMA Zitto anachunguzwa uraia....
CCM wanaendelea na kampeni....Lipumba ka quit....
Whoever is behind all this ni 'genius' wa mikakati...
kazaliwa tanzania.zito kazali wa tanzania. tueleze taratibu za kuwa raia hapa tz...
Kabwe... Haya ni majina ya wacongo .
weka vielelezo hapaSi kweli kabwe ni mkongo
Akizungumza kwenye moja ya mikutano ya kampeni Kigoma, mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Anna Mghwira amesema, anawashangaa Uhamiaji leo kuanza kuchunguza uraia wa Zitto wakati ameshawahi kuwa mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Habari zaidi soma gazeti la Majira la leo.
In zuga tu ya watawala et ionekane ACT sio pandikizi lao
Wamuache kwanza Kabwe ni baba wa mdogo wake Zitto. Wakichukua vipimo vya DNA Zitto atasalimika kama Kabwe muuza vitenge ni mcongo
Ukweli kuhusu uraia wa kabwe zuberi zitto ,hili jina KABWE hasili yake ni Kongo,na pia Sauda salum huyu ni mamayake mdogo kabwe. kuthibitisha hilo ni kuwa salum ni mume wa SAUDA (marehemu) baba yake kabwe anaitwa ZUBERI ambaye kwa sasa ni marehemu,Salum si babayake (kabwe zitto zuberi) hata ukichunguza hapo kwenye majina yake hakuna jina SALUM.kwani ni kawaida ya mtoto kutumia jina la baba.
ujio wa KABWE.
uchunguzi unasema babayake KABWE (bwana zuberi) alikimbia kutoka Kongo kama mkimbizi na alikimbilia Tanzania kwa mamayake mdogo na bwana KABWE ambaye pia ni mdogowake mkewe kama mkimbizi.Bwana KABWE Aliletwa Tanzania 1980,baada ya miaka miwili zuberi alikutwa na mauti.bwana kabwe alianza darasa la kwanza Kigoma Primary School Primary Education 1984 mpaka alipofika kwa sasa kwa ufupi.bila kufahamika kuwa ni mkongo.
Kabisa. Nilishasema hapa kuwa huyu jamaa ni mkongoman. Hata tabia zake ?????
Unasemaje? mrundi? Ana viashiria gani vya Unkurunziza?Kiongozi mkuu wa chama Mrundi hii hatari, mfano angegombea urais na kushinda tungekuwa na rais mwenye uraia wa utata, Mungu apishie mbali.