Uhamiaji: Mchungezeni mrembo Richa Adhia

Uhamiaji: Mchungezeni mrembo Richa Adhia

richa adhia kutuwakilisha miss india worldworldwide



pix.gif

Miss TZ 2006 Richa Adhia akipozi baada ya kutawazwa Samsung Miss TZ India 2010 na kuwa mwakilishi wetu katika fainali za Miss India Worldwide zitakazofanyika mwisho wa mwezi huu huko Johannesburg Sauzi.

Uncle Hashim Lundenga akiwa na 'mwanae' Richa Adhia, Miss TZ 2007


Richa na wadogo zake


..wadau waliohudhuria shindano hilo lililofanyika New Africa Hotel usiku wa kuamkia leo.
 
Kutoka kwenye tovuti ya Miss India Worldwide tunaweza kusoma:

http://www.worldwidepageants.com/randrww.htm

1. WHO CAN PARTICIPATE: Any woman of Indian origin (regardless of her place of birth) between the ages of 17 and 27 inclusive (on December 31st of the year she participates), never married and never having had a child, is eligible to participate. The delegate must be a resident, citizen or born in the country she will be representing. Appropriate documentation regarding the age and residency status of the delegate must be submitted in order to meet the eligibility requirements.

Kwa vigezo hivi, Richa Adhia siyo lazima awe raia wa India ili aweze kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss India Worldwide.

Hapo ndipo hasa ninapotatizika waheshimiwa;Je Adhia si anakwenda SA kama Muhindi anayeishi nje ya India kwenye mashindano ya Wahindi?

Tafadhali nielewesheni
 
Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!

Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!

Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!

Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!

Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!


those are indians in diaspora....hana uraia wa india ila anayo asili ya india,,,,hata pale foregn karibuni wanaanzisha dawati la watanzania wenzetu walio nje...iwe kwa kufanya kazi au uraia [wengine ni dada zetu wameolewa nje...]...nchi zote siku hizi zinajuwa faida za kuendelea kuweka bonds na raia au watu wa asili yao walio nje....na huko india moja ya njia kuu za kupata pesa za serikali yao ni pesa zinazotumwa na hawa ndugu zao...serikali inafaidika kwa kodi na interests...vile vile kuimarisha uchumi...

sasa hapa upeo wetu unaishia uhamiaji????? nenda uk na usa nako wabongo wanafanya miss tanzania USA ;/UK....wanahitaji tu kuungwa mkono na serikali...ili siku moja wafanye miss tanzania world[unganisha asili ya watanzania wote ulimwenguni..]
 
usichanganye mambo...
hilo shindano sio la raia wa India
bali ni shindano la watu wenye asili ya India.........
 
Busara, uadilifu na hekima ni vya muhimu utoapo mchango wako.
na si kana kwamba upo bar.
 
Jiheshimu kuwa na akili timamu,sio kutoka kwenye mipombe yako ya kienyeji huko unakuja humu kutukana watu.Jibu hoja au mueleweshe aelewe pale ambapo hajaelewa.Unajua mwelevu kumjibu mjinga wewe ndo unakuwa ......kama hujafurahia hii thread si utafute zingine uchangie?

Sasa hili la MIPOMBE YA KIENYEJI limetoka wapi?Disabuse your mind,baadhi are sustained and nourished by streams of mnazi,ulanzi,busaa,changaa,waragi name it /na hawa ni watu na heshima zao tu.
 
Mitanzania mingine ina wivu wa kijinga sana. Inakuuma kuona huyo mdada ana miliki passport mbili?.[/QUOTE]

...hapana! hapana! Iko siku Watanzania wa rangi zote na aina zote za ethnic origin itabidi wajiulize swali GUMU sana...KWA NINI NCHI YETU IENDELEE KUWA SHAMBA LA BIBI? Na kwamba:
ONE: Ipo mijitu hapa kazi yao ni UNYONYAJI tuu na sasa wameneemeka hata kuishia kuwa sponsors wa watawala uchwara flani tulionao
2: Hata kama wapo mijamaa ingine ambayo ethnic origin yao ni hapa, angalau tunawaona uswaz, na kidogo ufisadi wao una-TRICLE kwenye jamii. No excuse kwa ufisadi though!
3: In a few years Michina hii inayojenga viwanda katika makazi ya watu, ku-polute na kuwatesa wafanyakazi ambao hata utumwa leo wanaukubali kutokana na ugumu wa life, watakuwa katika level ya magabachodi, well kama bado kasi yao haijawafikisha hapo tayari.

Ni swala la msingi sana kwamba ni nani Mtanzania na kwa nini kuna umuhimu wa uraia kwingineko? Why?
 
Hapo ndipo hasa ninapotatizika waheshimiwa;Je Adhia si anakwenda SA kama Muhindi anayeishi nje ya India kwenye mashindano ya Wahindi?

Tafadhali nielewesheni

Any woman of Indian origin (regardless of her place of birth) between the ages of 17 and 27 inclusive (on December 31st of the year she participates)

Kwamba anaweza kuwa Mmarekani mwenye asili ya India,Mjamaika mwenye asili ya India,Muingereza mwenye asili ya India,Mghana mwenye asili ya India n.k.....Swali...Kuna tofauti gani unaposema Indian American ama African American?...ie Nini maana ya Mtanzania/Mmarekani mwenye asili ya India? au Mmarekani mwenye asili ya Afrika?....Tafakari....kisha toa jibu sahih
i
 
"Mitanzania mingine ina wivu wa kijinga sana. Inakuuma kuona huyo mdada ana miliki passport mbili?"

Si wivu jamani mtu anaipenda nchi yake na anauchungu nayo
 
hapa kuna mneno unatakiwa kutolewa explanation. any person who can get the truth from Lundenga or Kamati ya Miss Tanzania?
 
Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!

Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!

Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!

Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!

Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!
kuna kitu umemiss mkuu

yeye kuwakilisha india worldwide ni kama vile wale mamiss tanzania wanaotoka ulaya kama kuna wakati tulikua na miss tanzania Uk, the only different here could be wao wameangalia asili yake na sio uraia wake

i stand to be corrected
 
Hata mimi imeniacha mdomo wazi kabisa. Ila niifahamuvyo Tanzania, ni bora liende na kwa hakika pengine hata maofisa wa usalama na uahamiaji bado hawajagutuka. Labda kama kuna anyetembelea hapa au rafiki basi ndiyo atampatia shoti ya umeme kushtua ufahamu wao. Kweli hivi ni nani alituloga watanzania tunabaki kuwa Yes men, no problem, Yaaa, of course, you are right, it is yours, welcome, etc!!!!?? Kwa nini nchi zote za nje nimetembelea huwezi kabisa temper na maisha kule na sheria zake?? Tunahitaji Rais komandoo ambao hatizami mtu usoni na ambaye atatumia safari zake za nje japo kuona namna gani foreighners wanakuwa treated!!! Shiiiiiiiit.
 
Nadhani unaconfuse issues, Indian ni both race and nationality.
Unaweza kuwa Indian lakini una nationality ya Tanzania. Anyway kuna matatizo makubwa zaidi ya kuchunguza nchi hii.

And what is the difference between nationality and citizenship? You might confuse other people here as well. Respect!
 
Any woman of Indian origin (regardless of her place of birth) between the ages of 17 and 27 inclusive (on December 31st of the year she participates)

Kwamba anaweza kuwa Mmarekani mwenye asili ya India,Mjamaika mwenye asili ya India,Muingereza mwenye asili ya India,Mghana mwenye asili ya India n.k.....Swali...Kuna tofauti gani unaposema Indian American ama African American?...ie Nini maana ya Mtanzania/Mmarekani mwenye asili ya India? au Mmarekani mwenye asili ya Afrika?....Tafakari....kisha toa jibu sahih
i
huyu jamaa labda ana-exercise skills za kisheria tumwache bana... kama haelewi basi!
 
Miss Tanzania India is platform for showcasing the beauty and talent of women of Indian descent in United Republic of Tanzania, each of whom will have the once in a life time opportunity top compete for the prestigious title of ‘Miss Tanzania India’ and represent their Country in the world finals at the "Miss India Worldwide".

source; http://www.misstanzaniaindia.com/

...Great thinkers, tatizo ni nini hapa? Lugha?
 
Jamani Im I missing something here! Miss IndiaWorld Wide sio lazima uwe na uraia wa India, The fact kwamba wahindi wako kila mahari, ndio shindano lenyewe! ataitwa Miss India Worldwide kutoka Tanzania Kwa mfano!
Tukienda Ulaya huwa tunakuwaga sensitive sana kulalamika kuwa tunabaguliwa lakini hili la Adhia linanifanya nianze kufikiri pia huenda hata Waafrika tunakaubaguzi ka rangi! Nakumbuka kuna watu walilia hadharani siku aliposhinda kuwa MissTz. What does this Mean! are we racist? Im sure this is not Xenophobia!
 
Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!

Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!

Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!

Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!

Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!
Jamani....bila kufahamu vigezo vya kushiriki mashindano yale hatuwezi kuwa na cha kusema...................

hivi............Kwa nini mashindano yafanyike SA......... na si INDIA.....???
Mshiriki anatakiwa awe na vigezo gani.....???
 
Ni kutoelewa tu.Tanzania ni mara ya kwanza kuingia mashindano haya,lakini yalikuwapo kitambo na wanaoshiriki ni wenye asili ya India mahali popote duniani.

Wanashiriki kama Miss India Tanzania,Miss India UK,Miss India Canada,Miss India US n.k lakini wana hold uraia wa nchi zao.Miss India Tanzania maana yake ni mshindani wa Kitanzania mwenye asili ya India.

Mambo ya Globalization hayo!



Richa ni wa hapa hapa tunamjua
 
Back
Top Bottom