Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kutoka kwenye tovuti ya Miss India Worldwide tunaweza kusoma:
http://www.worldwidepageants.com/randrww.htm
1. WHO CAN PARTICIPATE: Any woman of Indian origin (regardless of her place of birth) between the ages of 17 and 27 inclusive (on December 31st of the year she participates), never married and never having had a child, is eligible to participate. The delegate must be a resident, citizen or born in the country she will be representing. Appropriate documentation regarding the age and residency status of the delegate must be submitted in order to meet the eligibility requirements.
Kwa vigezo hivi, Richa Adhia siyo lazima awe raia wa India ili aweze kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss India Worldwide.
Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!
Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!
Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!
Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!
Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!
Jiheshimu kuwa na akili timamu,sio kutoka kwenye mipombe yako ya kienyeji huko unakuja humu kutukana watu.Jibu hoja au mueleweshe aelewe pale ambapo hajaelewa.Unajua mwelevu kumjibu mjinga wewe ndo unakuwa ......kama hujafurahia hii thread si utafute zingine uchangie?
Mitanzania mingine ina wivu wa kijinga sana. Inakuuma kuona huyo mdada ana miliki passport mbili?.[/QUOTE]
...hapana! hapana! Iko siku Watanzania wa rangi zote na aina zote za ethnic origin itabidi wajiulize swali GUMU sana...KWA NINI NCHI YETU IENDELEE KUWA SHAMBA LA BIBI? Na kwamba:
ONE: Ipo mijitu hapa kazi yao ni UNYONYAJI tuu na sasa wameneemeka hata kuishia kuwa sponsors wa watawala uchwara flani tulionao
2: Hata kama wapo mijamaa ingine ambayo ethnic origin yao ni hapa, angalau tunawaona uswaz, na kidogo ufisadi wao una-TRICLE kwenye jamii. No excuse kwa ufisadi though!
3: In a few years Michina hii inayojenga viwanda katika makazi ya watu, ku-polute na kuwatesa wafanyakazi ambao hata utumwa leo wanaukubali kutokana na ugumu wa life, watakuwa katika level ya magabachodi, well kama bado kasi yao haijawafikisha hapo tayari.
Ni swala la msingi sana kwamba ni nani Mtanzania na kwa nini kuna umuhimu wa uraia kwingineko? Why?
Hapo ndipo hasa ninapotatizika waheshimiwa;Je Adhia si anakwenda SA kama Muhindi anayeishi nje ya India kwenye mashindano ya Wahindi?
Tafadhali nielewesheni
kuna kitu umemiss mkuuRicha Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!
Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!
Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!
Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!
Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!
Nadhani unaconfuse issues, Indian ni both race and nationality.
Unaweza kuwa Indian lakini una nationality ya Tanzania. Anyway kuna matatizo makubwa zaidi ya kuchunguza nchi hii.
huyu jamaa labda ana-exercise skills za kisheria tumwache bana... kama haelewi basi!Any woman of Indian origin (regardless of her place of birth) between the ages of 17 and 27 inclusive (on December 31st of the year she participates)
Kwamba anaweza kuwa Mmarekani mwenye asili ya India,Mjamaika mwenye asili ya India,Muingereza mwenye asili ya India,Mghana mwenye asili ya India n.k.....Swali...Kuna tofauti gani unaposema Indian American ama African American?...ie Nini maana ya Mtanzania/Mmarekani mwenye asili ya India? au Mmarekani mwenye asili ya Afrika?....Tafakari....kisha toa jibu sahihi
Miss Tanzania India is platform for showcasing the beauty and talent of women of Indian descent in United Republic of Tanzania, each of whom will have the once in a life time opportunity top compete for the prestigious title of Miss Tanzania India and represent their Country in the world finals at the "Miss India Worldwide".
source; http://www.misstanzaniaindia.com/
Jamani....bila kufahamu vigezo vya kushiriki mashindano yale hatuwezi kuwa na cha kusema...................Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!
Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!
Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!
Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!
Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!