Huu ujinga muwe mnadanganyana wenyewe uko.hizi sio zama zakuendekeza propaganda za kijinga.Lakini labda haufahamu kwamba hata hayo yanayoitwa maandamano ya Chadema yemeratibiwa na hao hao CCM kushirikiana na viongozi wa chadema ambao hata raisi wa ccm alitoa mamilioni ya fedha kumkabidhi mbowe kujengea kanisa kwao na hata akasema (Mbowe) kwamba ni ccm wamempa hizo hela za kujengea kanisa.
sasa swali kwako, ccm uwatoe nani aje? chadema ya mbowe na tundu lisu ambaye hata holliday kusafiri nje analipiwa na ccm? au zito kabwe ?
Haya majitu akili zao ni chache sana.Hapa ndio unaona umecheza mind games za hatari.
Kama watu watafikiri kauli hii inajibu hoja ya CDF, basi wanakosea sana.Hayo ndio maelezo Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji za Tanzania.
So acheni kunyooshea Mawaziri na watu wengine wenye Asili ya Nchi jirani Vidole.
Ila ni bahati mbaya tumewahi kuwa na Rais anaesemekana kuingia Nchini kutoka Nchi jirani akiwa mtoto. Watanzania tunajuana Kwa tabia za Uungwana.
========
"Uraia wa Tajnisi kwamba mgeni amefika Tanzania ameishi na kwa mujibu wa sheria inasema kwamba awe ameishi kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
"Atapata haki zingine zote isipokuwa hawezi kugombea zile nafasi za juu za uongozi kama Rais. Lakini ubunge anaweza kugombea na anaweza kuwa Waziri. Kwa level ya Urais hawezi kugombea ile nafasi ni kwa ajili ya raia wa Tanzania kwa kuzaliwa tu" Paul John Msele msele, Mrakibu wa jeshi la Uhamiaji.
Clouds
My Take
Kama hili la Uraia linasumbua hivi,Swala la Uraia Pacha ndio halitakaa liwezekane.
Kigogo Media anamjua.Rais gani huyo? Samia anamjua? CCM wanamjua? Nani alimpa Urais? Nani alimpitisha kugombea Urais?
Ndio maana watu wanataka CCM mtoke madarakani kama mnakiri kutuletea mgeni kuwa Rais basi hamfai kuongoza nchi!
Unajitoa ufahamu? Muulize KigogoNi nani aliletwa nchini akiwa mdogo na akaukwaa uraisi?
Je mtoto aliyezaliwa Tanzania na wazazi wakimbizi kutoka nje ya Tanzania anaruhusiwa kugombea URAIS ?Hayo ndio maelezo Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji za Tanzania.
So acheni kunyooshea Mawaziri na watu wengine wenye Asili ya Nchi jirani Vidole.
Ila ni bahati mbaya tumewahi kuwa na Rais anaesemekana kuingia Nchini kutoka Nchi jirani akiwa mtoto. Watanzania tunajuana Kwa tabia za Uungwana.
========
"Uraia wa Tajnisi kwamba mgeni amefika Tanzania ameishi na kwa mujibu wa sheria inasema kwamba awe ameishi kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
"Atapata haki zingine zote isipokuwa hawezi kugombea zile nafasi za juu za uongozi kama Rais. Lakini ubunge anaweza kugombea na anaweza kuwa Waziri. Kwa level ya Urais hawezi kugombea ile nafasi ni kwa ajili ya raia wa Tanzania kwa kuzaliwa tu" Paul John Msele msele, Mrakibu wa jeshi la Uhamiaji.
Clouds
My Take
Kama hili la Uraia linasumbua hivi,Swala la Uraia Pacha ndio halitakaa liwezekane.
Kwamba kizimkazi katokea kwa mabinamu zake sijui ngoja nianzeUnajitoa ufahamu? Muulize Kigogo
Big point !Kama watu watafikiri kauli hii inajibu hoja ya CDF, basi wanakosea sana.
CDF hakuongelea watanzania wenye uraia wa kujiandikisha. Aliongelea ambao wamejipachika uraia baada tu ya kufanikiwa kuishi nchini, kusoma na kuzoeana na watu lakini hawakufuaya any legal procedure ya kuomba uraia wa Tanzania.
Pia anaweza kuwa Mwenyekiti wa CCM taifa.Hayo ndio maelezo Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji za Tanzania.
So acheni kunyooshea Mawaziri na watu wengine wenye Asili ya Nchi jirani Vidole.
Ila ni bahati mbaya tumewahi kuwa na Rais anaesemekana kuingia Nchini kutoka Nchi jirani akiwa mtoto. Watanzania tunajuana Kwa tabia za Uungwana.
========
"Uraia wa Tajnisi kwamba mgeni amefika Tanzania ameishi na kwa mujibu wa sheria inasema kwamba awe ameishi kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
"Atapata haki zingine zote isipokuwa hawezi kugombea zile nafasi za juu za uongozi kama Rais. Lakini ubunge anaweza kugombea na anaweza kuwa Waziri. Kwa level ya Urais hawezi kugombea ile nafasi ni kwa ajili ya raia wa Tanzania kwa kuzaliwa tu" Paul John Msele msele, Mrakibu wa jeshi la Uhamiaji.
Clouds
My Take
Kama hili la Uraia linasumbua hivi,Swala la Uraia Pacha ndio halitakaa liwezekane.
Mabinamu zake wapi? Huyo huyo aliyekulia Kijijini kuchunga Ng'ombe alitokea wapi?Kwamba kizimkazi katokea kwa mabinamu zake sijui ngoja nianze
1. Nyerere mtoto typical wa mzee Burito. Ingaw kama ilivyo mimi na wewe babu zake babu zao walitokea kwa PAKA
2. Mwinyi huyu typically ni mtoto wa kisarawe
3. Mkapa yule ni mmakua
4. Nani asiye mjua kikwete mtoto wa DC???
5. Magufuli amekulia ugali tangu akiwa na siku tatu ni mchunga ng'ombe mashuhuri pale kijijini. Ni mwalimu wa kemia
Jamani tutegulieni hilo fumbo.... kama yupo tumuondoe aende kwao
HahahahahahahaMabinamu zake wapi? Huyo huyo aliyekulia Kijijini kuchunga Ng'ombe alitokea wapi?
Hivi majizi yote,mafisadi yote, yaliyopiga Mali za, Nchi hii, ni raia wa, wapi? Mkapa aliuza madini yetu, mashirika ya umma, nyumba za serikali, na mwenyewe akqjiuzia ikulu ndogo! Kikwete akauza gesi yetu, akaingia mikataba mibovu ya madini,Hayo ndio maelezo Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji za Tanzania.
So acheni kunyooshea Mawaziri na watu wengine wenye Asili ya Nchi jirani Vidole.
Ila ni bahati mbaya tumewahi kuwa na Rais anaesemekana kuingia Nchini kutoka Nchi jirani akiwa mtoto. Watanzania tunajuana Kwa tabia za Uungwana.
========
"Uraia wa Tajnisi kwamba mgeni amefika Tanzania ameishi na kwa mujibu wa sheria inasema kwamba awe ameishi kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
"Atapata haki zingine zote isipokuwa hawezi kugombea zile nafasi za juu za uongozi kama Rais. Lakini ubunge anaweza kugombea na anaweza kuwa Waziri. Kwa level ya Urais hawezi kugombea ile nafasi ni kwa ajili ya raia wa Tanzania kwa kuzaliwa tu" Paul John Msele msele, Mrakibu wa jeshi la Uhamiaji.
Clouds
My Take
Kama hili la Uraia linasumbua hivi,Swala la Uraia Pacha ndio halitakaa liwezekane.
Ayo ni maneno ya mleta uzi na sio Idara ya uhamiaji. Tumia akili.Rais gani huyo? Samia anamjua? CCM wanamjua? Nani alimpa Urais? Nani alimpitisha kugombea Urais?
Ndio maana watu wanataka CCM mtoke madarakani kama mnakiri kutuletea mgeni kuwa Rais basi hamfai kuongoza nchi!
Che Nkapa na MzilankendeNi nani aliletwa nchini akiwa mdogo na akaukwaa uraisi?
Mgeni hafai kupewa nafasi yoyote nchi ishapata uhuru raia wa Tanzania tu ndio wanaotakiwa kupata nyadhifa hizo
Na wewe pia lazima utueleze ni lini uliingia nchini, kuwa memba wa JF tu bila ya kujua sheria za nchi yetu haikupi uhalali wowote wa kuwa uraia! Hizi dharau za kuwa maza kwao ni Omani unazitoa wapi? yaani Vyombo husika vilishindwa kufanya kazi yake?Mbona maza kwao ni Oman?