Pre GE2025 Uhamiaji: Mgeni Aliyeomba Uraia wa Tanzania anaweza kuwa Mbunge au Waziri ila haruhusiwi kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na wewe pia lazima utueleze ni lini uliingia nchini, kuwa memba wa JF tu bila ya kujua sheria za nchi yetu haikupi uhalali wowote wa kuwa uraia! Hizi dharau za kuwa maza kwao ni Omani unazitoa wapi? yaani Vyombo husika vilishindwa kufanya kazi yake?
Kwani kuwa memba wa JF lazima uwe Tz? unamjua maza gani?
 
Hivi unawajua watusi wewe?? Wale jamaa achana nao kabisaaaa!! Ni bora Hamas
 
ni kweli kabisa .maana kuna makabila mengine wa nchi fulani wana agenda za siri za zaidi ya miaka 50.PK ni mmoja wao .
 
Hivi unawajua watusi wewe?? Wale jamaa achana nao kabisaaaa!! Ni bora Hamas
those people i know them correctly .plan yao inaweza kukaa zaidi ya miaka hamsini.mnaweza kukaa pamoja mnakunywa bia pamoja lakini kumbe moyoni analo jambo lake .they always dream to make tutsi empire
 

Kwanini basi wasiyamalize huko ndani wanaleta confusion Kwa raia? Majeshi yakianza kuingizwa kwenye siasa where exactly are we heading kama siyo kwenye kuvunja amani ya taifa hili ambalo halijui vita wala vurugu? Guys, mmepewa dhamana ya kutuongoza msituletee vurugu katika nchi yetu Kwa maslahi yenu binafsi
 
Sawa lakini,
vip kuhusu uzalendo,
Raia mhamiaji atakuwa Mzalendo wa nchi aliyohamia zaidi ya raia Mzawa?
 
Jiwe alikuwa mtanzania?
 
Rais gani huyo? Samia anamjua? CCM wanamjua? Nani alimpa Urais? Nani alimpitisha kugombea Urais?
Ndio maana watu wanataka CCM mtoke madarakani kama mnakiri kutuletea mgeni kuwa Rais basi hamfai kuongoza nchi!
Ccm ni zaidi ya zimwi
 
Wewe ni zaidi ya bwegemtozeni Sasa habari za CDM zinatokea wapi?
 
Swala sio Asili Bali alizaliwa Zanzibar/Tanzania au hapana? Babu ndio wa Oman ila baba yake ni Mzanzibar.

Je waliozaliwa Nje ya Nchi na wakaletwa Tanganyika nani raia kati Yao na Samia aliyezaliwa Zanzibar ila ana mababu Oman? GwaB
 
Kama taifa tulikuwa kwenye kipindi kigumu sana ktk historia ya Taifa letu
 
Sawa lakini,
vip kuhusu uzalendo,
Raia mhamiaji atakuwa Mzalendo wa nchi aliyohamia zaidi ya raia Mzawa?
Uzalendo wa mhamiaji ni mdogo kuliko aliyezaliwa Tzn na wazee wenye Asili ya Nje ya Nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…