Pre GE2025 Uhamiaji: Mgeni Aliyeomba Uraia wa Tanzania anaweza kuwa Mbunge au Waziri ila haruhusiwi kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kioja kingine
 
Africa ya Kusini Wahamiaji haramu wa Kizungu na Kihindi wana Enjoy life huku wale wenzetu wa Kiafrika wakiuwawa hovyo na kuchomwa moto mchana kweupe.

Tunataka Muungano wa AFRIKA hivi itawezekana kweli?
 
Kama ni hivyo sheria zetu za uhamiaji zinatakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa.

Fukiria unakuwa na Waziri wa Ulinzi asili yake Rwanda halafu vita inazuka baina yetu na Rwanda ?.
 
Hiyo sio tatizo hata kogaja ujaluoni kenya walisheelekea kuchaguliwa Obama
Haikumaanisha kua ni mkenya
Leo waziri mkuu wa wingereza ni mahindi je uingereza inatawaliwa na wahindi
Acheni ubaguzi ubaguzi ni alama ya umaskini
ubaguzi ni sifa ya mchoyo hajajitosheleza hajui kua anawahitaji watu wasaidie uchumi wake
 

So pia anaweza kuwa NAIBU WAZIRI MKUU ….
 
Ile kauli yake ni mwanzo wa witch-hunt.

Siamini kama amesema vile bahati mbaya au bila prior approval ya Pres.
Inawezekana kabisa. Inawezekana ni sehemu ya kampeni watu wanajipanga.

Ukijipendekeza kuwania urais tu, watu wanakupa kesi ya uhamiaji ya kufukua mpaka 1860s huko.

CDF anaongeaje hadharani mambo haya kama hana access ya kuongea na rais privately?
 
Mgeni aliyepata uraia anaweza kuwa makamu wa Rais?
 
Masuala ya uhamiaji sio ya CDF.
 
Masuala ya uhamiaji sio ya CDF
 
Mabinamu zake wapi? Huyo huyo aliyekulia Kijijini kuchunga Ng'ombe alitokea wapi?
Lupaso asili ya wazazi wake ni Nchubiji, yule baharia wa zenj asili yake Nyasaland, komandoo asili yako Comoro, pia yapasa tukumbuke huko nyuma Rwanda na Burundi zilikuwa Tanganyika na pia ni himaya ya wajima akina Rumanyika, tukianza kunyosheshaana vidole hakuna atakayebaki hapa, wengine asili yao ni Oman, Iran(mabrush), Somalia na kadhalika, mwenye Tanganyika ni Wagogo tu wengine wote wahamiaji.
 
Linapoanza kugusa na kutishia amani na usalama wa nchi, hilo moja kwa moja linakuwa la kwake.
Haya ni matumizi mabaya ya amani na usalama wa nchi. Idara ya uhamiaji wakisaidiwa na TISS na polisi wanatosha kabisa kushughulika na masuala ya uhamiaji.
 
yaani karne zote hizi ccm walikuwa bize kuchomeka mamruki kwenye serikali yetu ambayo haina ajira na matatizo lukuki hivi.......yaani wapo kama akili waliazimisha kwa wanyama yaani.
 
Inawezekana kabisa. Inawezekana ni sehemu ya kampeni watu wanajipanga.

Ukijipendekeza kuwania urais tu, watu wanakupa kesi ya uhamiaji ya kufukua mpaka 1860s huko.

CDF anaongeaje hadharani mambo haya kama hana access ya kuongea na rais privately?
Hapa Madam Prez anatengeneza "deniability" na "kujiosha mikono", ikianza sekeseke watasema ni reaction ya kauli za CDF.
 
U
Unateseka ukiwa wapi Ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…