Pre GE2025 Uhamiaji: Mgeni Aliyeomba Uraia wa Tanzania anaweza kuwa Mbunge au Waziri ila haruhusiwi kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inawezekana kabisa. Inawezekana ni sehemu ya kampeni watu wanajipanga.

Ukijipendekeza kuwania urais tu, watu wanakupa kesi ya uhamiaji ya kufukua mpaka 1860s huko.

CDF anaongeaje hadharani mambo haya kama hana access ya kuongea na rais privately?
Mimi niliwaza kuwa Jamaa ametumika kutisha watu fulani kwa kisingizio cha Uraia.

Ngoja tuone itaishaje
 
Mimi niliwaza kuwa Jamaa ametumika kutisha watu fulani kwa kisingizio cha Uraia.

Ngoja tuone itaishaje
Nchi haina vitambulisho vya uraia vya kueleweka, utatishiaje watu suala la uraia?
 
Kwa hiyo kuwa Naibu Waziri Mkuu ni sawa? Kwa sababu amesema kuwa endapo wakiomba uraia, ni vizuri autangazie umma Naibu Waziri Mkuu na hawa wengine wanaotajwa, kama waliwahi kuomba uraia wa Tanzania, waliomba lini na walipewa lini.
Hivi kumbe kuna cheo cha naibu waziri mkuu? Duh.! hizi hustle za kujitafutia ugali zinanifanya nipitwe na mambo ya muhimu. Ni nani uyo naibu waziri mkuu?
 
STUPID
 
🙄🤔🔊
 
Kama nani mmojawapo?
 
Rais gani huyo? Samia anamjua? CCM wanamjua? Nani alimpa Urais? Nani alimpitisha kugombea Urais?
Ndio maana watu wanataka CCM mtoke madarakani kama mnakiri kutuletea mgeni kuwa Rais basi hamfai kuongoza nchi!
Aliyempa urais mgeni naye alikuwa mgeni.
 
CDF alikua clear alisema wakimbizi huyu tutusa anakuja na habari za wageni walioomba uraia.

haya ndio matatizo ya kuwa na failures kwenye nafasi kubwa kubwa na ndio hao hao wajinga wanaotoa pasi kwa wageni.
 
Kama nani mmojawapo?
Yusuf Makamba akiwa Katibu Mkuu wa CCM, wakati akitaja sababu ya mmoja wa waligombea tiketi ya ubunge kupitia CCM aliwahi kumtaja mmoja walioshinda tiketi hiyo na kusema si raia ndiyo maana wamemkata.
 
Kigogo Media anamjua.
Anasema jamaa mmoja raia wa kigeni alifanikiwa kuwa rais wa nchi hii. Lakini Mungu amemuondoa yule.
Mmmmhhh?!, kuna wakati niliamini mtandao wa jamii forum umejaa watu makini,kumbe hakuna,humu zimejaa takataka na mitu mijinga ya ajabu.
 
Unajua kuna watu humu kazi yao ni kuzusha uongo,jpm eti alikuja mtoto?!,huyu mtoto wa mwababudodi,mtoto wa mchunga ng'ombe na mkulima,makabuli ya bibi zake na babu zake yanajulikana yalipo,na hata yeye alipoanza mbio za kutafuta urais ilibidi kuanza kujenga hayo makabuli ya ukoo wake!?,leo anatoke mpumbavu anasema jpm ni mkimbizi!!??.
 
Haya mambo hua yanaletwa public baada ya viongozi kufikishiwa taarifa na kuto chukua taarifa

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Yusuf Makamba akiwa Katibu Mkuu wa CCM, wakati akitaja sababu ya mmoja wa waligombea tiketi ya ubunge kupitia CCM aliwahi kumtaja mmoja walioshinda tiketi hiyo na kusema si raia ndiyo maana wamemkata.
Niliqahinkusomahumuhumu JF kuna mtu aliandika, Bashiru nae ni mkimbizi.

Ya JF kama sote tunavyoelewa, ya JF changanya na yako.
 
Kwahiyo mlitoa rushwa kwa mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…