Uhamiaji wanapaswa wapitie upya nyaraka za Wasomali nchini

Uhamiaji wanapaswa wapitie upya nyaraka za Wasomali nchini

Sidhani kama kinana ana asili yakisomali, kuna baazi ya maeneo hapa nchini yana shombeshombe ya kiarabu lakini sio wasomali.kama pemba kilwa na tanga nk

Hahahah nenda Arusha pale mtaa wa wasomali/bondeni mitaa ya kina kinana hio afu ukawaambie eti wale wasomali asili yao sio somalia eti ni shombeshombe.
 
Si kweli mkuu Mwanamke wa kisomali zaidi ya ndoa huwezi mpata labla kwa bahati nasibu
Huyu Ana ubaguzi Sana Kama ni ivyo hata blacks wowote wanapofanyaga mabaya nchi za wengine warudishwe kwao.
Pia wale Askari waliomuua Akwilina wafuatiliwe wajulikane ni kabila gani ili warudishwe kwao mkoani watoke dar. So dunia ni moja mkuu
 
Mmmh acha kujipa sifa ambazo hazipo,mbona pale chang'ombe maduka mawili tulitafuna wawili wa familia moja sema mnabanwa bila hivyo ni kama warangi tu.
 
Wasomali kihistoria na kiasili ni watu hatari sana, Jirani zetu wa kenya wanasumbuliwa sana na Jamii ya kisomali.
sio wasomali wote ni watu hatari ila wengi wao ni hatari sana kwa usalama hivyo tunaomba watu hawa kama wapo wanaishi na kufanya kazi nchi basi wafuatiliwe kwa karibu nyenendo zao.
jamii ya kisomali.
wapo ambao ni raia wema na wazalendo, tatizo lipo kwa wale ambao wanajihusisha au wana rekodi za kigaidi hao lazima wabainishwe na warudushwe walipo toka.
wapo baadhi yao wana rekodi za kihalifu tokea huko kwao.
sina maana ya kubagua kwa namna yoyote ile ila nimesema hayo kwa nia njema ya Usalama wa Taifa langu Tanzania.
hivyo naomba maelezo yangu yasitafsiriwe vibaya.
nawapenda sana wasomali na pia ninao marafiki wa kisomali ambao ni wema.

kama maelezo niliyo yatoa yataleta usumbufu kwa wengine basi naomba uzi huu ufutwe.
Ushauri mbovu kabisa huu
 
Ubaguzi hauna tija tujikite katika kutafuta Pesa na Maisha bora.

#Mbowe sio Gaidi
 
Wasomali kihistoria na kiasili ni watu hatari sana, Jirani zetu wa kenya wanasumbuliwa sana na Jamii ya kisomali.
sio wasomali wote ni watu hatari ila wengi wao ni hatari sana kwa usalama hivyo tunaomba watu hawa kama wapo wanaishi na kufanya kazi nchi basi wafuatiliwe kwa karibu nyenendo zao.
jamii ya kisomali.
wapo ambao ni raia wema na wazalendo, tatizo lipo kwa wale ambao wanajihusisha au wana rekodi za kigaidi hao lazima wabainishwe na warudushwe walipo toka.
wapo baadhi yao wana rekodi za kihalifu tokea huko kwao.
sina maana ya kubagua kwa namna yoyote ile ila nimesema hayo kwa nia njema ya Usalama wa Taifa langu Tanzania.
hivyo naomba maelezo yangu yasitafsiriwe vibaya.
nawapenda sana wasomali na pia ninao marafiki wa kisomali ambao ni wema.

kama maelezo niliyo yatoa yataleta usumbufu kwa wengine basi naomba uzi huu ufutwe.
Kuna vitu umeongea vinamashiko makubwa

Hata Hamza angepewa nafasii ya kuishi Kuna Jambo angeeongea

Mungu awape wepesi wote waliopoteza wapendwa wao


Vyombo vya usalama vilete majibu why Hamza aliwauwa polsi na hakutaka kuwamimnia risasi abiria wapita njia na wengine
 
Kuna vitu umeongea vinamashiko makubwa

Hata Hamza angepewa nafasii ya kuishi Kuna Jambo angeeongea

Mungu awape wepesi wote waliopoteza wapendwa wao


Vyombo vya usalama vilete majibu why Hamza aliwauwa polsi na hakutaka kuwamimnia risasi abiria wapita njia na wengine
swali jingine ni;
kwa nini Magaidi walilipua Ubalozi wa Marekani wakaucha Ubalozi wa Ufaransa ambao ilikuwa jirani tu.?!
ukipata majibu ya swali hilo, basi litakuwa jibu la swali lako kuwa;
kwa nini Gaidi Hamza aliwashambulia na kuwa ua askari na kuwalenga wao tu.
Hata Magaidi wa kibiti walikuwa wanawashambulia na kuuwa askari.

Pia kwa faida yako na ya watu wengine nenda kasome kuhusu mipango ya magaidi ktk kutekeleza uovu wao.
Mbowe inadaiwa alipanga kulipua vituo vya mafuta, kwa nini? sababu anaijua zaidi yeye.
 
Mtoa mada ana ubaguzi sana ukiachana na tukio hili la Hamza ni lini Mtu mwenye asili ya Somalia aliwahi leta chida kwenye Nchi hii mbona hatuna tabu na mtu.
Utakuwa mdigo sana, mwaka 1998, huko Ngorongoro liliibuka kundi la wasoma lililikuwa likiuuwa sana wafugaji na kupora mifugo. JWTZ ikalifutialia mbali.
 
Kuna vitu umeongea vinamashiko makubwa

Hata Hamza angepewa nafasii ya kuishi Kuna Jambo angeeongea

Mungu awape wepesi wote waliopoteza wapendwa wao


Vyombo vya usalama vilete majibu why Hamza aliwauwa polsi na hakutaka kuwamimnia risasi abiria wapita njia na wengine
mkuu uzi huu umekaa kibaguz na kiwake sana....utawafanya popote walipo waanze majanga wakidhani ku2a ha2aaaminiki tena nchini kwetu.................
 
kifupi watu weupe wote wanaokuja hapa lazima tuwe na misimamo mikali dhidi yao, tusiwape uhuru sana na wao kujiona watanzania..

wahindi, wasomali, na waarabu wakiwa kwao sisi hutuona watumwa na watu tusio na maana lakini ajabu wao wakiwa hapa tunawaona wafalme na ndugu zetu kiasi cha kuwapa uraia kiholela....tunapaswa kutoa masharti magumu dhidi ya hawa watu hasa pale tunapowapa uraia na wao kuwa watanzania basi wawe watanzania kweli na sio kufake utanzania pale wanapobenefit lakini huku hawako tayari kuishi kama watanzania..

Weupe wengi wanachuma kirahisi sana hapa kupitia ndugu zetu wenye tamaa na kupewa virushwa rushwa na kuwauza watanzia wote...wakishachuma hapa wengie wao huwafanya watanzania wenzetu watumwa kwa kuwatumikisha kwa ujira mdogo na manyanyaso meeengi..huku faida wanayoipata wanaihamisha hapa na kujenga himaya europe na America kama sio India..
 
kifupi watu weupe wote wanaokuja hapa lazima tuwe na misimamo mikali dhidi yao, tusiwape uhuru sana na wao kujiona watanzania..

wahindi, wasomali, na waarabu wakiwa kwao sisi hutuona watumwa na watu tusio na maana lakini ajabu wao wakiwa hapa tunawaona wafalme na ndugu zetu kiasi cha kuwapa uraia kiholela....tunapaswa kutoa masharti magumu dhidi ya hawa watu hasa pale tunapowapa uraia na wao kuwa watanzania basi wawe watanzania kweli na sio kufake utanzania pale wanapobenefit lakini huku hawako tayari kuishi kama watanzania..

Weupe wengi wanachuma kirahisi sana hapa kupitia ndugu zetu wenye tamaa na kupewa virushwa rushwa na kuwauza watanzia wote...wakishachuma hapa wengie wao huwafanya watanzania wenzetu watumwa kwa kuwatumikisha kwa ujira mdogo na manyanyaso meeengi..huku faida wanayoipata wanaihamisha hapa na kujenga himaya europe na America kama sio India..
Wewe umejawa na chuki tu umepigwa na maisha, fanya kazi hakuna mtu kalazimishwa kufanya kazi kwa mtu hakuna utumwa. Nchi ina sheria zake nani raia na nani sio raia hata asiye raia anaweza kuja hapa akiwa amefuata sheria za nchi. Sasa nitajie sheria inayosema Mtanzania ni lazima mfano awe mchaga, mrangi, mhehe na ,,,,,,,,,, hakuna sehemu unajaza kabila yako unajaza form wewe Mtanzania msilete haya mambo ya kijinga nchi hii mtu kafanya kosa haijalishi nani sheria ichukuwe nafasi yake leo tunaambiwa Mbowe Gaidi kwa hiyo tukachunguze ukoo wake wote? ukiwa na pesa wewe mfalme utatumisha tu huna kafanye kazi hata laizer mmasai lakini mfalme huko kwao pesa. Fanya kazi....
 
Back
Top Bottom