didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
what if nikileta kielelezo kwamba sio mm? Bomboclout kama huna majibu laza mk***Huu Ni uongo,hakuna aliyekuuliza.Ni weweeeeeee
Tuliza shanga hizo mrembo.what if nikileta kielelezo kwamba sio mm? Bomboclout kama huna majibu laza mk***
Uhamiaji waliingia Mafunzoni Chuoni kwao Tanga tangu mwezi April,nadhani mwezi ujao Oktoba wanamaliza Depo,sasa sijui unauliza Mafunzo gani?Binti yangu yupo huko,najiandaa kwenda kwenye Graduation(Passing Out)yao mwezi ujaoNaomba kuuliza kwa mweny updates ni lini jeshi la uhamiaji litaita watu kwaajil ya mafunzo? na utaratibu wa jeshi la uhamiaj upoje kwa anaeingia na degree na yule wa form four. Nimeulizwa hayo maswal nmeona niyalete kweny jukwaa
Kila la kheri kwake