didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Naomba kuuliza kwa mweny updates ni lini jeshi la uhamiaji litaita watu kwaajil ya mafunzo? na utaratibu wa jeshi la uhamiaj upoje kwa anaeingia na degree na yule wa form four. Nimeulizwa hayo maswal nmeona niyalete kweny jukwaa