Uongo unajuaje bila majina kuwekwa nahisi flaud hapaMajina bado ila barua zilishatangulia toka tarehe 06 mwezi huu,kafuatilie ofisini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo unajuaje bila majina kuwekwa nahisi flaud hapaMajina bado ila barua zilishatangulia toka tarehe 06 mwezi huu,kafuatilie ofisini.
Sawa endelea kutoamini,nikudanganye wewe kwa faida gani ninayopata endelea kukaa usagatini utakuta wenzio wamesha funga data wamehama barua yako wamefungia chapati.Uongo unajuaje bila majina kuwekwa nahisi flaud hapa
Ndugu,nimeshindwa kwenda kuangalia kwakuwa ile nafika tu ofisini naambiwa kutakuwa na kikao cha dharura cha staff kuanzia saa 2:30 asubuhi.Na badala ya kikao kuwa kifupi kama nilivyodhani kikafuliliza kwa masaa mengi.Umeona yako?
OkNdugu,nimeshindwa kwenda kuangalia kwakuwa ile nafika tu ofisini naambiwa kutakuwa na kikao cha dharura cha staff kuanzia saa 2:30 asubuhi.Na badala ya kikao kuwa kifupi kama nilivyodhani kikafuliliza kwa masaa mengi.
Kesho nitaenda kucheki na nitakujulisha kilichojili hapa hapa jukwaani.Mi sikutilii mashaka kama yule mwenzangu ambaye amegeuka Tomaso.
Duh yaani hata hujui nini tunajadili hapa na wewe uende kuuliza nini!kweli kwa vichwa hivi safari ya maendeleo ya tz inavikwazo.Sasa unaulizaje jina umeliona wapi?! Mmmmmmhhhh haya dibiwa kweli
Mrejesho vipi?Ndugu,nimeshindwa kwenda kuangalia kwakuwa ile nafika tu ofisini naambiwa kutakuwa na kikao cha dharura cha staff kuanzia saa 2:30 asubuhi.Na badala ya kikao kuwa kifupi kama nilivyodhani kikafuliliza kwa masaa mengi.
Kesho nitaenda kucheki na nitakujulisha kilichojili hapa hapa jukwaani.Mi sikutilii mashaka kama yule mwenzangu ambaye amegeuka Tomaso.
Vipi kwa upande wako bado kimyaMrejesho vipi?
Bado kimya asee.Vipi kwa upande wako bado kimya
Mmmmhhhhh hawawezi kutuma barua mpk majina yatoke ndio utaratibu huo na sivinginevoNimeuliza ofisi ya utumishi wameniambia wanatuma barua chachechache sijui shida nini.
Nimeulizia,vibali vya uhamisho bado havijaja.Sijui kwa halmashauri zingine.Ila wanazingua sana.Mrejesho vipi?
Acha kukariri kaka nipo safarini kwenda kuripoti kituo kipya nitakutumia dm ili uone barua yangu.Nimeulizia,vibali vya uhamisho bado havijaja.Sijui kwa halmashauri zingine.Ila wanazingua sana.
Chenga tupu hapa haya naisubiri hiyo barua yako dmAcha kukariri kaka nipo safarini kwenda kuripoti kituo kipya nitakutumia dm ili uone barua yangu.
[emoji106][emoji106]Chenga tupu hapa haya naisubiri hiyo barua yako dm
Hakuna mtu anaweza kukupa ushirikiano kwa kauli zako mbaya hivi,kwasababu silazamiki kufanya unavyotaka!all the best.Chenga tupu hapa haya naisubiri hiyo barua yako dm