Mimi binafsi nawapongeza sanaViongozi wa TPA wote kwa Ujumla manadiliko ni sehemu ya kiutendaji wewe upo TPA unalalamika namna hiyo
Fanya kazi acha kuwachafua Viongozi wako kubali kuwajibika kama Mtumishi .....acheni mambo ya ajabu ajabu
Natamani sana kufanya kazi TPA sana acheni nyinyi wenzenu Tulia usiku na mchana maisha ni magumu sana kwetu licha Tuna Elimu sawa
Wenzenu Tumechoka sana [emoji22] [emoji120]
Fanya kazi acha kuwachafua Viongozi wako kubali kuwajibika kama Mtumishi .....acheni mambo ya ajabu ajabu
Natamani sana kufanya kazi TPA sana acheni nyinyi wenzenu Tulia usiku na mchana maisha ni magumu sana kwetu licha Tuna Elimu sawa
Wenzenu Tumechoka sana [emoji22] [emoji120]