Uhamisho wa watumishi wa Serikali za Mitaa Juni 2014

Kaka tafadhalin jama nawaombeni mnichekie RHODAH C SAMSON kutoka chato geita kama vip nijuzeni hata kwa 0787746954
 
Hivi hizo barua za kibali cha kuhama zinatoka lini? Maana nimefatilia halmashauli wanadai bado
 
Hivi hizo barua za kibali cha kuhama zinatoka lini? Maana nimefatilia halmashauli wanadai bado

Ndani ya muda mfupi, ndani ya wiki na kitu, lakini pia inategemea na halmashauri husika, zingine huwahi, na pia zingine huchelewa.
 
Hivi hizo barua za kibali cha kuhama zinatoka lini? Maana nimefatilia halmashauli wanadai bado

Inategemea na halmashauri, zingine ni ndani ya wiki moja na kitu, pia hutegemea na halmashauri, zingine huwahi na zingine huchelewa.
 
Hivi hizo barua za kibali cha kuhama zinatoka lini? Maana nimefatilia halmashauli wanadai bado

Inategemea na halmashauri, zingine ni ndani ya wiki moja na kitu, pia hutegemea na halmashauri, zingine huwahi na zingine huchelewa.
 
jamani naombeni mniangalizie jina RHODA C SAMSON kutoka chato geita make nimeangalia mpaka jina la 2780 majina yakaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…