Muntu Ya Pori
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 222
- 64
Habari zenu wadau.Wadau kila mwaka vyuo vinachukua wahandisi wangapi? inamaana wahandisi wao mkopo ni given? idadi ya wahandisi waliokosa mkopo naona ni ndogo sana, vyuo vingi wanatoa wahandisi hao tu ndo waliokosa mkopo! Kwa familia zetu masikini tunatakiwa kuwasisitiza watoto wetu kukomaa na sayansi ili waasome kirahisi bila kujari interest zao.