Uharamia Unaofanyika Jamii Forum

Njoo nikupe dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine unaona kichwa cha habari kizuri ukifungua uzi unakutana na chenga za mahindi ya kienyeji unaamua kurudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaangalia tu,kama pumba tunapita kushoto!
 
Pengne ni roho mbaya tu, kuna mtu akiona hata inzi kaingia chooni kwake au ametua kwenye kinyesi chake atakasrika na lazma amfukuze, si sababu ya usafi, la hasha anaumia kwa nini anafaidi jasho lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…