Uhasama wa Tanzania bara na Zanzibar unazidi kukua na utaleta madhara makubwa kama yanayosemwa hayatashughulikiwa

Ingekuwa muungano tuliutaka sisi ndiyo ungesema yote hayo. Huu muungano ni wa Uingereza na Mmarekani. Kama wao hawautaki utavunjika siku moja tu.

Tumewachiwa dudu la "divide and rule" sisi kwa ujinga wetu tunaona tuna muungano.
BIG OK
 
Muungano uvunjwe haraka
 
Muungano uvunjwe
 
Hata Wayemen ambao ndio wakorofi waliachana na kurudiana na kuachana
Itakuwa sisi?
Kama tunapenda sana visiwa mbona tunavyo na kama tunaogopa Usalama wetu, ambayo ni maneno ya kisiasa tu hayana uhalisia hata chembe zaidi ya chuki

Eti mwarabu atarudi hivi leo wakitaka kununua visiwa ambavyo havikaliwi na mtu watashindwa?
Maana duniani Kuna visiwa vya kuuzwa na watu wananunua
Wapige kura ndio jibu sahihi hata Scotland walipiga kura ila wengi wakaipa Uingereza iendelee
 
Mdanganyika ukienda zenj unaonekana hufai kwa kilakitu unabaguliwa, hata ukiwa ni swala 5 watakuita wewe ni swala 5 jina tu umejaa ukafiri... Mzenj akija bara hasumbuliwi haulizwi kwa lolote anamilik ardhi nyumba na cheo anapewa... Halafu mnasema kuna usawa na haki... Ifike mahala kilamtu ashike 50 zake... Kodi anakamuliwa bibi yako kule kishumundu ludewa chunya ileje na koromije ila anapelekewa ale kodi mzenj asiyejua hata kulima mbogamboga...
 
Mapinduzi ya kijeshi kwa Tanzania ni ngumu kidogo ila ntaungana na wewe kwenye mabaadiliko ya kimazingira, utashi na uelewa wa wananchi.

Kuhusu machafuko HAPANA bado kwa aina ya jamii ya kitanzania hatujafikia huko.
 
Mapinduzi ya kijeshi kwa Tanzania ni ngumu kidogo ila ntaungana na wewe kwenye mabaadiliko ya kimazingira, utashi na uelewa wa wananchi.

Kuhusu machafuko HAPANA bado kwa aina ya jamii ya kitanzania hatujafikia huko.
Hatuko mbali sana na huko.
 
Hapana kwa mara ya kwanza nakupinga
Kupinga ni haki yako ya uhuru wa maoni, na sio kukubali tuu kila kitu kitutusa!, ila msingi wa mijadala humu ni kwa hoja, jibu hoja kwa hoja au pangua hoja kwa hoja mbadala.
P
 
Hujui au umejisahaulisha kuwa katika Muungano wetu kimekufa kimoja tu, kingine kikabaki; katika hali hiyo hoja yako ya chemical reaction to form a compound si sahihi. Kwa mantiki hayo hayo basi hii ni mixture.
Kunahitaka sana elimu ya uraia kuhusu huu Muungano wetu, ni muungano adimu na adhimu.
1. Kimataifa ni Muungano wa Union, nchi mbili zimeungana, zimekuwa fused together into a new compound, JMT, both countries died, nchi ni moja na Rais mmoja.
2. Kitaifa ni Muungano wa federation ya nchi mbili na marais wawili, Tanganyika changed it's name to Tanzania Bara, Zanzibar maintained it's name, Zanzibar but both have no sovereignty, the sovereign is JMT.

Hivyo hiyo Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…