Uhasama wa Tanzania bara na Zanzibar unazidi kukua na utaleta madhara makubwa kama yanayosemwa hayatashughulikiwa

Uhasama wa Tanzania bara na Zanzibar unazidi kukua na utaleta madhara makubwa kama yanayosemwa hayatashughulikiwa

Zanzibar chao ni chao chetu ni chao pia
Naumbea muungano uvunjike hata leo leo
 
huu ubaguzi mbona unaongelewa humu tu JF,huko znz hakuna tatizo kabisa, wazanzibar,wamasai na wasukuma wanaishi vizuri tu bila shida yeyote. tena wote wanakula urojo. Hizi habari za ubaguzi wamebaki nazo watanganyika tu. sijui nu ukosefu wa kazi, mapenzi ya kulalamika au ni husda. Au siasa iliyo pitiliza?
 
Sheria iliyounda Senagambia, had provisions za kuuvunja. Ule ulikuwa ni mkataba, the same to UK kujitoa EU.

Huu Muungano wetu adimu na adhimu ni Muungano wa dhima ya Muungano wa milele, zile Articles of the Union, sio mkataba, ni makubaliano ya milele, hakuna provision ya kuuvunja Muungano, tumeunganisha nchi mbili kwa kuchanganya udongo, na kuumwaga bara na Zanzibar, ili kuuvunja, lazima tuutafute ule udogo, tuupembue, punje za udongo wa Tanganyika, zirejeshwe Tanganyika na punje za Zanzibar zirejeshwe Zanzibar.

Kikemikali, muungano wetu ni compound na sio mixture!. Kikemikali, Ukichanganya vitu viwili na kuwa mixture, vitu hivyo vinakuwa havijaungana kikemikali, mfano kuchanhanya pombe na maji, kwa kutumia fractional distillation inawezekana kuitenganisha pombe na.maji. Vitu kama maji, H2Ounaweza kutenganisha hydrogen na oxygen, chumvi, unaweza hydrogen na.chlorine etc.

Lakini vitu viwili vinapoungana kwa chemical reaction, vitu viwili vile hufa na kuzaliwa kitu kipya kinachoitwa compound, huwezi tena kuvirejesha kwenye hali ya awali kama kuyeyusha sabuni ya unga kwenye maji, kunatokea chemical reaction, huwezi kutenganisha.

Huu Muungano wetu adimu na adhimu, ume undergo chemical reaction kwa mataifa mawili Tanganyika na Zanzibar kuungana, kupoteza utaifa wake.na kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo ni compound, halivunjiki tena!.

Muungano tutaulinda kwa gharama yoyote.
P
Subiri muanze kuchinjana sasa😁 ndio mtajua kuwa ni compound au mixture
 
siku hizi hawaitwi wanyamwezi, wanaitwa wasukuma.
Wasukuma wamehamia miaka ya karibuni, na kwa upande mmoja wao wenyewe wanajitambilisha hivyo na wanapenda watambuliwe hivyo. Ila kiuhalisia watu kutoka Bara hutambuliwa kama ni Wanyamwezi...
 
Binafsi naamini kuwa muungano hautafika 2050
 
Nadhani hujaelewa hili somo, kwa nini tumefikia hapa tulipo, na tumefikia hapa tulipo leo na sio huko nyuma. Nataka nikueleze jambo moja very serious, ujue kuna mengi sana nyuma ya pazia. Makubwa ni matatu;
  1. Zanzibar kuna potential kubwa ya mafuta, na yakipatikana Zanzibar itakuwa kama Kuwait; kimapato, ukitumia GDP, the richest country in the world. Tangu ijulikane kuwa Zanzibar ina uwezekano mkubwa wa kuwa na mafuta, suala la nishati (mafuta na gesi) kuwa katika muungamo likawa ni kero ya muungano kwa upande wa Zanzibar, jambo la kuondolewa
  2. Zanzibar ni kisiwa cha kimkakati (strategic island) kiuchumi. Kuna mataifa kama Oman, UAR, Saudi Arabia nk, wako tayari kuingia makubaliano nao ili kiwe katika himaya zao na kuwaahidi Zanzibar mabilioni ya dola, kwamba wakikubali wataishi kama wako peoponi tayari na hakutakuwa na Mzaznibar masikini au asiye na nyumba ya kifahari, matibabu bire kwa wote, na kila mkazi atajengewa nyumba ya kisasa nk. Zanzibar hawawezi kuingia makubaliano kama hayo wakiwa sehemu ya Tanzania, na wakilazimisha basi itabidi JWTZ wachukulie ni uvamizi.
  3. Zanzibar ni kisiwa cha kimkakati (strategic island) kijeshi. Kuna mataifa kama USA, China, Russia nk, wako tayari kuingia makubaliano nao ili kiwe kituo chao cha kijeshi, na kuwaahidi Zanzibar mabilioni ya dola. Tanzania (bara) hawako tayari kuruhusu hili, kwa gharama yeyote ya kulinda muungano, hata kama ni kuwalea huku wanakukojolea kila siku.
Kwa hiyo basi, hizo ndio sababu za msingi zinafanya Zanzibar waone muungano kwa sasa unawazuia kuingia peponi, kulingana na ahadi wanazopewa kama wakiuvunja. Wanafanya kila njia ili kuwakera Tanzania bara kwa visababu vingi vidogovidogo lakini haya ndio mambo yaliyoko nyuma ya pazia.

Hawatasema sababu za kutaka kuvunja muungano, na haya mengine unayosikia ni kelele tu. Na aliethubutu kujaribu hili la kuiondoa Zanzibar katika muungano alikuwa ni Aboud Jumbe, ndio maana akaishia kutengwa kama mtu mwenye ukoma. In fact, ilitakiwa afungwe kwa uhaini. Aliyevujisha taarifa za kile Aboud Jumbe alitaka kufanya alikuwa ni Maalim Seif Sharif, hadi akazawadiwa Uwaziri Kiongozi. Lakini waliambiwa wazi, mtu mwingine yeyote akithubutu, JWTZ itaingia, na wakumbuke hatutahitaji kuweka boots on the ground in Zanzibar wakifanya uasi. Tunaweza kuwapiga tukiwa Bagamoyo.

Sasa, theory nyingine ya kutisha iliyopo ni kwamba hata Raisi Samia huenda anatumika kama kichocheo cha kuvunja muungano, akitumia nafasi yake kuwaudhi watu wa bara ili wafikie hatua kusema hawataki tena muungano. Watu wana theorize kwamba anafanya makusudi kuingia mikataba kama ya bandari, kuleta Wa-Zanzibar waajiriwe bara nk, kwa lengo la kuchochea hasira upande wa bara, hasira ambayo mwisho wake ni kuvunja muungano.

Angalia kwamba theory ya Raisi Samia kutumika kama kichocheo cha kuvunja muungano inakuwa na logic fulani kwa jinsi alivyong'ang'ania mkataba wa bandari. Ilikuwa ni kama ugomvi wa watu wa bara na Samia, na hakujali kuendelea kuwaudhi watu, hata viongozi wa dini, na wazee wa busara, kwa sababu hilo ndio lilikuwa lengo; wakasirike, waseme sasa muungano basi. Katika hali ya kawaida ya siasa, zile kelele zilipaswa kumfanya aseme basi tunaacha tumewasikia wananchi. Lakini akakaza uzi tu, japo upinzani wa juu sana aliokabiliana nao. Theory ni kwamba kulikuwa na sababu ya yeye kushika ule msimamo, na hiyo sababu haikuwa ya kiuchumi.

Na kuna vitu vingine vingi vinavyohusu kuwafungulia waarabu fursa upande wa bara, pamoja na mambo ya mbuga za wanyama nk. Haya yote yalionekana kuwa ni strategy, kwamba hata kama muungano utavunjika, uwepo wa hawa waarabu upande wa bara, waarabu wanaoonwa kuwa wajomba wa Samia na watu wa Zanzibar, kutakuwa na manufaa kwa Zanzibar. Na hata kuna watu wanasema haya mambo yanafanyika kwa coordination ya Zanzibar na Uarabuni.

Kuna mengi sana nyuma ya pazia. Suala ni kwamba, ni thory tu au yana ukweli ndani yake? Nilitaka kupost hili jambo kama thread inayojitegemea, lakini wewe sasa ndio umefanya niliseme. Haya ni baadhi ya mambo Nyerere alijua, na akawa na msimamo muungano usivunjwe kwa gharama yeyote ile. Hofu yake ilikuwa ni ya kuisalama. Lakini suala la Samia kuwa Raisi wa Tanzania limepeleka hili jambo katika level nyingine kabisa.
Na Lissu nae?
 
huu ubaguzi mbona unaongelewa humu tu JF,huko znz hakuna tatizo kabisa, wazanzibar,wamasai na wasukuma wanaishi vizuri tu bila shida yeyote. tena wote wanakula urojo. Hizi habari za ubaguzi wamebaki nazo watanganyika tu. sijui nu ukosefu wa kazi, mapenzi ya kulalamika au ni husda. Au siasa iliyo pitiliza?
Msikie huyu.
 
Nadhani hujaelewa hili somo, kwa nini tumefikia hapa tulipo, na tumefikia hapa tulipo leo na sio huko nyuma. Nataka nikueleze jambo moja very serious, ujue kuna mengi sana nyuma ya pazia. Makubwa ni matatu;
  1. Zanzibar kuna potential kubwa ya mafuta, na yakipatikana Zanzibar itakuwa kama Kuwait; kimapato, ukitumia GDP, the richest country in the world. Tangu ijulikane kuwa Zanzibar ina uwezekano mkubwa wa kuwa na mafuta, suala la nishati (mafuta na gesi) kuwa katika muungamo likawa ni kero ya muungano kwa upande wa Zanzibar, jambo la kuondolewa
  2. Zanzibar ni kisiwa cha kimkakati (strategic island) kiuchumi. Kuna mataifa kama Oman, UAR, Saudi Arabia nk, wako tayari kuingia makubaliano nao ili kiwe katika himaya zao na kuwaahidi Zanzibar mabilioni ya dola, kwamba wakikubali wataishi kama wako peoponi tayari na hakutakuwa na Mzaznibar masikini au asiye na nyumba ya kifahari, matibabu bire kwa wote, na kila mkazi atajengewa nyumba ya kisasa nk. Zanzibar hawawezi kuingia makubaliano kama hayo wakiwa sehemu ya Tanzania, na wakilazimisha basi itabidi JWTZ wachukulie ni uvamizi.
  3. Zanzibar ni kisiwa cha kimkakati (strategic island) kijeshi. Kuna mataifa kama USA, China, Russia nk, wako tayari kuingia makubaliano nao ili kiwe kituo chao cha kijeshi, na kuwaahidi Zanzibar mabilioni ya dola. Tanzania (bara) hawako tayari kuruhusu hili, kwa gharama yeyote ya kulinda muungano, hata kama ni kuwalea huku wanakukojolea kila siku.
Kwa hiyo basi, hizo ndio sababu za msingi zinafanya Zanzibar waone muungano kwa sasa unawazuia kuingia peponi, kulingana na ahadi wanazopewa kama wakiuvunja. Wanafanya kila njia ili kuwakera Tanzania bara kwa visababu vingi vidogovidogo lakini haya ndio mambo yaliyoko nyuma ya pazia.

Hawatasema sababu za kutaka kuvunja muungano, na haya mengine unayosikia ni kelele tu. Na aliethubutu kujaribu hili la kuiondoa Zanzibar katika muungano alikuwa ni Aboud Jumbe, ndio maana akaishia kutengwa kama mtu mwenye ukoma. In fact, ilitakiwa afungwe kwa uhaini. Aliyevujisha taarifa za kile Aboud Jumbe alitaka kufanya alikuwa ni Maalim Seif Sharif, hadi akazawadiwa Uwaziri Kiongozi. Lakini waliambiwa wazi, mtu mwingine yeyote akithubutu, JWTZ itaingia, na wakumbuke hatutahitaji kuweka boots on the ground in Zanzibar wakifanya uasi. Tunaweza kuwapiga tukiwa Bagamoyo.

Sasa, theory nyingine ya kutisha iliyopo ni kwamba hata Raisi Samia huenda anatumika kama kichocheo cha kuvunja muungano, akitumia nafasi yake kuwaudhi watu wa bara ili wafikie hatua kusema hawataki tena muungano. Watu wana theorize kwamba anafanya makusudi kuingia mikataba kama ya bandari, kuleta Wa-Zanzibar waajiriwe bara nk, kwa lengo la kuchochea hasira upande wa bara, hasira ambayo mwisho wake ni kuvunja muungano.

Angalia kwamba theory ya Raisi Samia kutumika kama kichocheo cha kuvunja muungano inakuwa na logic fulani kwa jinsi alivyong'ang'ania mkataba wa bandari. Ilikuwa ni kama ugomvi wa watu wa bara na Samia, na hakujali kuendelea kuwaudhi watu, hata viongozi wa dini, na wazee wa busara, kwa sababu hilo ndio lilikuwa lengo; wakasirike, waseme sasa muungano basi. Katika hali ya kawaida ya siasa, zile kelele zilipaswa kumfanya aseme basi tunaacha tumewasikia wananchi. Lakini akakaza uzi tu, japo upinzani wa juu sana aliokabiliana nao. Theory ni kwamba kulikuwa na sababu ya yeye kushika ule msimamo, na hiyo sababu haikuwa ya kiuchumi.

Na kuna vitu vingine vingi vinavyohusu kuwafungulia waarabu fursa upande wa bara, pamoja na mambo ya mbuga za wanyama nk. Haya yote yalionekana kuwa ni strategy, kwamba hata kama muungano utavunjika, uwepo wa hawa waarabu upande wa bara, waarabu wanaoonwa kuwa wajomba wa Samia na watu wa Zanzibar, kutakuwa na manufaa kwa Zanzibar. Na hata kuna watu wanasema haya mambo yanafanyika kwa coordination ya Zanzibar na Uarabuni.

Kuna mengi sana nyuma ya pazia. Suala ni kwamba, ni thory tu au yana ukweli ndani yake? Nilitaka kupost hili jambo kama thread inayojitegemea, lakini wewe sasa ndio umefanya niliseme. Haya ni baadhi ya mambo Nyerere alijua, na akawa na msimamo muungano usivunjwe kwa gharama yeyote ile. Hofu yake ilikuwa ni ya kuisalama. Lakini suala la Samia kuwa Raisi wa Tanzania limepeleka hili jambo katika level nyingine kabisa.
Hebu hili andiko lako litoe hapa liwe mada inayojitegemea. Lipe kichwa cha "Muungano wa Tanzania ni Strategic, ni mwendawazimu tu ndiye amaweza kuuvunja"

Hongera Synthesizer, huko nyuma nimekurupuka "kukudogosha", I am sorry
 
Serikali 3 zitasababisha hali ya changu ni changu pande zote kama Zanzibar wanavyofanya sasa hivi.
Matokeo yake, mfano tu, raia wa Zanzibar anayemiliki ardhi Tanganyika atanyang'anywa vinginevyo Zanzibar wakubali watanganyika kununua ardhi kwao.
Kwa ujumla kutakuwa na mtafaruku utakaosababisha watu kupoteza mali na hata muungano wenyewe kuvunjika.
Zanzibar watashindwa kuchangia serikali ya muungano (kipato chao kidogo), wafanyakazi waliopo bara kwa jina la serikali ya muungano watarudishwa kwao, wabunge wa kutoka Zanzibar watakosa fursa walizo nazo sasa na mengine mengi.
Raia wa Tanganyika waliopo Zanzibar watafukuzwa pia kwa sababu ya chuki ya kisiasa itakayojengeka.
Bora iwe hivyo mkuu, ili kusudi kila mtu afe na chake. Pengine tutapata maendeleo kama nchi zingine zilizosimama zenyewe. Zanzibar wana kiburi cha kitoto sana ni kama mtoto anaebebwa na wazazi kupewa kila kitu ili atulie ila haridhiki. Anatafta mabalaa tu.
 
huu ubaguzi mbona unaongelewa humu tu JF,huko znz hakuna tatizo kabisa, wazanzibar,wamasai na wasukuma wanaishi vizuri tu bila shida yeyote. tena wote wanakula urojo. Hizi habari za ubaguzi wamebaki nazo watanganyika tu. sijui nu ukosefu wa kazi, mapenzi ya kulalamika au ni husda. Au siasa iliyo pitiliza?
Ukiona shamba linauzwa kaombe kununua ndipo urudi kutuambia hakuna ubaguzi. Au omba kazi serikalini au private sector huko Zanzibar. Na ukisikia mtu anaitwa jina kama chogo huko Zanzibar uliza nini maana ya chogo, na kwa nini chogo.
 
Serikali 3 zitasababisha hali ya changu ni changu pande zote kama Zanzibar wanavyofanya sasa hivi.
Matokeo yake, mfano tu, raia wa Zanzibar anayemiliki ardhi Tanganyika atanyang'anywa vinginevyo Zanzibar wakubali watanganyika kununua ardhi kwao.
Kwa ujumla kutakuwa na mtafaruku utakaosababisha watu kupoteza mali na hata muungano wenyewe kuvunjika.
Zanzibar watashindwa kuchangia serikali ya muungano (kipato chao kidogo), wafanyakazi waliopo bara kwa jina la serikali ya muungano watarudishwa kwao, wabunge wa kutoka Zanzibar watakosa fursa walizo nazo sasa na mengine mengi.
Raia wa Tanganyika waliopo Zanzibar watafukuzwa pia kwa sababu ya chuki ya kisiasa itakayojengeka.
1. Raia wa Tanganyika walioko zanzibar watafukuzwa: ni wachache sana ndugu, ukiwaona jua wanafanya kazi kwenye mashirika ya kimataira/NGO, mahoteli na biashara kubwa, na wanachukiwa sana, hawapendwi, hivyo madhara hayatakuwa makubwa kwanza watarudi nyumbani kwao.

2. kwa wazanzibar, watatakiwa kurudisha ardhi ama la wapitie TIC wamiliki kama wawekezaji. itafaa kama wakinyang'anywa ili tuwe sawa, haiwezekani wao wamiliki kwetu ila sisi marufuku kumiliki kwao. wataamua wauze au wagawe watajua wenyewe.

3. wabunge kutoka zanzibar watakosa fursa walizo nazo bara za kupata perdiem na mamishahara rundo, wanajulikana mbona wamejenga majumba mengi tu DSM na Dodoma, watatapika zote hizo. ili warudi kwao wakaendelee kutuita chogo.

4. wafanyakazi wazanzibar waliopo bara itabidi warudi kwao wakajenge nchi yao, ajira zao wanapaswa waajiriwe watanganyika. haiwezekani wao waajiriwe hapa ila sisi marufuku kuajiriwa kwao.

5. kwenye changu ni changu na chako ni chako, ipo hadi sasa, wanzanzibar wanasema chochote walicho nacho ni chao, ila cha kwetu sisi ni chetu. ni kama mwanamke vile, anavyovitafuta ni vya kwake ila unachokitafuta wewe mwanaume ni cha wote.

wengi wanafikiri tunaandika hivi kwasababu ya chuki, no, hii ni kero mojawapo ya muungano ambayo watanganyika watatamani itatuliwe, na wazanzibar waeleweshwe kwamba kubaki kwenye muungano kama udungu inawafaidisha zaidi wao, na watanganyika wanafaidika tu kuwa tunaungana nao kama ndugu zetu ila sio kama watu tunaofaidika nao. wanatakiwa waruhusu aidha, cha kwao kiwe cha kwetu and vise versa, au la kila mtu achukue hamsini zake na tujuane kama mataifa mawili huru.

Pia, onyo kwao, siku zote mwanamke huwa anapiga sana yowe kuomba talaka kama wao walivyotuchukia na kutuona hatuna maana, sisi machogo, ila akitoka huwa anatamani kurudi ila ndio mwengine keshabadili. siku wakitoka kwenye muungano watakapokosa fursa zote hizi ndio watajua kumbe Watanganyika walikuwa na roho nzuri tu na waliwapenda tu.
 
Sheria iliyounda Senagambia, had provisions za kuuvunja. Ule ulikuwa ni mkataba, the same to UK kujitoa EU.

Huu Muungano wetu adimu na adhimu ni Muungano wa dhima ya Muungano wa milele, zile Articles of the Union, sio mkataba, ni makubaliano ya milele, hakuna provision ya kuuvunja Muungano, tumeunganisha nchi mbili kwa kuchanganya udongo, na kuumwaga bara na Zanzibar, ili kuuvunja, lazima tuutafute ule udogo, tuupembue, punje za udongo wa Tanganyika, zirejeshwe Tanganyika na punje za Zanzibar zirejeshwe Zanzibar.

Kikemikali, muungano wetu ni compound na sio mixture!. Kikemikali, Ukichanganya vitu viwili na kuwa mixture, vitu hivyo vinakuwa havijaungana kikemikali, mfano kuchanhanya pombe na maji, kwa kutumia fractional distillation inawezekana kuitenganisha pombe na.maji. Vitu kama maji, H2Ounaweza kutenganisha hydrogen na oxygen, chumvi, unaweza hydrogen na.chlorine etc.

Lakini vitu viwili vinapoungana kwa chemical reaction, vitu viwili vile hufa na kuzaliwa kitu kipya kinachoitwa compound, huwezi tena kuvirejesha kwenye hali ya awali kama kuyeyusha sabuni ya unga kwenye maji, kunatokea chemical reaction, huwezi kutenganisha.

Huu Muungano wetu adimu na adhimu, ume undergo chemical reaction kwa mataifa mawili Tanganyika na Zanzibar kuungana, kupoteza utaifa wake.na kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo ni compound, halivunjiki tena!.

Muungano tutaulinda kwa gharama yoyote.
P
Bro Umezungumza kama dikteta hujatoa suluhisho nini kifanyike kutatua KERO ambazo ndio msingi wa hoja za muungano na mara nyini wanasiasa zaidi ni maslahi sio ufumbuzi wa kudumu kwa nini iwe chako chetu na chetu chetu?
 
hata ukiachiwa ununue utaweza bei ya ardhi huko? au unafikiri bei ni kama za mkuranga?
Mfano mmoja ulio hai ni kwamba bei ya nyumba moja iliyopo pale msimbazi K.koo ni sawa na kununua mtaa mzima Mkuranga. 😅🙏🙏
 
1. Raia wa Tanganyika walioko zanzibar watafukuzwa: ni wachache sana ndugu, ukiwaona jua wanafanya kazi kwenye mashirika ya kimataira/NGO, mahoteli na biashara kubwa, na wanachukiwa sana, hawapendwi, hivyo madhara hayatakuwa makubwa kwanza watarudi nyumbani kwao.

2. kwa wazanzibar, watatakiwa kurudisha ardhi ama la wapitie TIC wamiliki kama wawekezaji. itafaa kama wakinyang'anywa ili tuwe sawa, haiwezekani wao wamiliki kwetu ila sisi marufuku kumiliki kwao. wataamua wauze au wagawe watajua wenyewe.

3. wabunge kutoka zanzibar watakosa fursa walizo nazo bara za kupata perdiem na mamishahara rundo, wanajulikana mbona wamejenga majumba mengi tu DSM na Dodoma, watatapika zote hizo. ili warudi kwao wakaendelee kutuita chogo.

4. wafanyakazi wazanzibar waliopo bara itabidi warudi kwao wakajenge nchi yao, ajira zao wanapaswa waajiriwe watanganyika. haiwezekani wao waajiriwe hapa ila sisi marufuku kuajiriwa kwao.

5. kwenye changu ni changu na chako ni chako, ipo hadi sasa, wanzanzibar wanasema chochote walicho nacho ni chao, ila cha kwetu sisi ni chetu. ni kama mwanamke vile, anavyovitafuta ni vya kwake ila unachokitafuta wewe mwanaume ni cha wote.

wengi wanafikiri tunaandika hivi kwasababu ya chuki, no, hii ni kero mojawapo ya muungano ambayo watanganyika watatamani itatuliwe, na wazanzibar waeleweshwe kwamba kubaki kwenye muungano kama udungu inawafaidisha zaidi wao, na watanganyika wanafaidika tu kuwa tunaungana nao kama ndugu zetu ila sio kama watu tunaofaidika nao. wanatakiwa waruhusu aidha, cha kwao kiwe cha kwetu and vise versa, au la kila mtu achukue hamsini zake na tujuane kama mataifa mawili huru.

Pia, onyo kwao, siku zote mwanamke huwa anapiga sana yowe kuomba talaka kama wao walivyotuchukia na kutuona hatuna maana, sisi machogo, ila akitoka huwa anatamani kurudi ila ndio mwengine keshabadili. siku wakitoka kwenye muungano watakapokosa fursa zote hizi ndio watajua kumbe Watanganyika walikuwa na roho nzuri tu na waliwapenda tu.
Haya ndiyo tunatakiwa kutatua kwa akili ili raia wasipate shida kwa sababu ya siasa.
Changamoto zote husababishwa na maamuzi ya wanasiasa.
 
Back
Top Bottom