B101
Member
- Oct 30, 2008
- 16
- 1
Jamani wahasibu wa Tanzania, chukueni muda kujua ni standards gani zinatumika kwa mazingira ya kihasibu TANZANIA. Kutokana na wimbi la utandawazi kuwa kubwa kiasi cha kuwafunua macho wahasibu wa kitanzania katika standards na practices za kihasibu ambazo ama hazihusiki au zimepitwa na wakati kwa mazingira ya kwetu. Standards hizi zinaaply kwa Tanzania, kama nilivyonukuu kutoka kwenye tovuti ya bodi ya wahasibu na wakaguzi Tanzania (NBAA)
IFRSs: 1,2,3,4 na 5
IASs:1,2,7,8,10,11,12,14,15,16,17,18,19,20,21,23,24,26,27,28,29,30,31,32,33,34,36,37,38,39,40 na 41
ISAs:200,210,230,250,260,320,402,501,505,510,520,530,540,545,550,560,570,580,610,620,710 na 720
Na kuna zile standards za kitanzania ambazo hazina mbadala wa kimataifa
Tanzania Financial Acconting Standards (TFASs):
12-Director's Report
16-Accounting for Extractive Industries
23-Accounting for Value Added Tax(VAT)
24-Public Sector Accounting
Tanzania Statements of Recommended Practice (TSRPs):
2-Accounting for Non-Governmental Organisations
3-Governance in the Public Sector- An Accounting Officer's Perspective
Zingatia, sio kila kitu utasoma darasani!
IFRSs: 1,2,3,4 na 5
IASs:1,2,7,8,10,11,12,14,15,16,17,18,19,20,21,23,24,26,27,28,29,30,31,32,33,34,36,37,38,39,40 na 41
ISAs:200,210,230,250,260,320,402,501,505,510,520,530,540,545,550,560,570,580,610,620,710 na 720
Na kuna zile standards za kitanzania ambazo hazina mbadala wa kimataifa
Tanzania Financial Acconting Standards (TFASs):
12-Director's Report
16-Accounting for Extractive Industries
23-Accounting for Value Added Tax(VAT)
24-Public Sector Accounting
Tanzania Statements of Recommended Practice (TSRPs):
2-Accounting for Non-Governmental Organisations
3-Governance in the Public Sector- An Accounting Officer's Perspective
Zingatia, sio kila kitu utasoma darasani!