Uhauri: Nalipwa 170k kwa mwezi, how can I survive?

Uhauri: Nalipwa 170k kwa mwezi, how can I survive?

Ahmed Saidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
1,588
Reaction score
3,487
Habari za muda huu Wana JF

Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.

Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.

Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.

Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.

Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.

Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.

Karibuni kwa ushauri.
 
Oya jamaa mbona kama naona unalalamika kisoro wakati unaonekana umejipanga arif?

Kama unapokea 170 na una save 140 huoni kama wewe ni mjafanja kuliko ambae anapokea 1+m ila kabla mshahara haujatoka unakuwa umeshaisha arif.


Wewe komaa hapo hapo na kwakuwa una biashara ya kuku basi hiyo hela ongeza mtaji huko ndio utatokea huko huko.
 
Habari za muda huu Wana JF

Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.

Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.

Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.

Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.

Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimeweza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.

Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.

Karibuni kwa ushauri.
Kabla ya kulipwa 170k ulikuwa unasurvive vipi ?
 
Oya jamaa mbona kama naona unalalamika kisoro wakati unaonekana umejipanga arif?

Kama unapokea 170 na una save 140 huoni kama wewe ni mjafanja kuliko ambae anapokea 1+m ila kabla mshahara haujatoka unakuwa umeshaisha arif.


Wewe komaa hapo hapo na kwakuwa una biashara ya kuku basi hiyo hela ongeza mtaji huko ndio utatokea huko huko.
Nashukuru kwa ushauri nzuri nitaufanyia kazi
 
Mkuu hiyo hela si uingize shamba wakati unaendelea kufundisha?
alime matikikiti heka 1 atatoa milioni tatu [emoji28][emoji28][emoji28]we wacha kumshauri kijana kuhusu kilimo aendeleze ufugaji wake wa kuku ndo ana experience nao ajichanganye sasa akafanye kilimo aje hapa analialia

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom