Sababu hasa ya haya ni nini? Maana naona tunapewa yaliyojili, na hatujui kwanini yamekuwa hivyo.Huyu ndiye Dada Jonais (Mzaliwa wa Mwika Kilimanjaro) aliyekutwa ameuwawa msituni huko Korogwe, na pembeni ni mtoto wake ambaye pia alichomwa moto kwenye tukio hilo hilo. Kwenye kadhia hiyo pia binti wake wa kazi nae aliuwawa, naarifiwa anazikwa Tanga leo pia. Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvuView attachment 3109958View attachment 3109959
Okay.Huyu ndiye Dada Jonais (Mzaliwa wa Mwika Kilimanjaro) aliyekutwa ameuwawa msituni huko Korogwe, na pembeni ni mtoto wake ambaye pia alichomwa moto kwenye tukio hilo hilo. Kwenye kadhia hiyo pia binti wake wa kazi nae aliuwawa, naarifiwa anazikwa Tanga leo pia. Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvuView attachment 3109958View attachment 3109959
Huyu mama alikuwa internal auditor hapo halmashauri ya korogwe????Sababu hasa ya haya ni nini? Maana naona tunapewa yaliyojili, na hatujui kwanini yamekuwa hivyo.
Je waliyofanya hili tukio watapatikana?😓😭inaumiza kuamini wasioaminika...I wish kama tungepata ujasiri kama wananchi tukafanya mapinduzi ya kweli...so sad to see these young souls perishing in vain and no backups or non tó fight to their back for their innocence...Yani ningeitukana serikali kuwa ni ya "kijinga na kipumbavu" lakini huo uwezo Sina, binafsi Sina Imani na serikali yangu.
Alikuwa Internal Auditor??Huyu mama alikuwa internal auditor hapo halmashauri ya korogwe????
Siku zote kifo hakikosi sababu
Ova
Huyu ndiye Dada Jonais (Mzaliwa wa Mwika Kilimanjaro) aliyekutwa ameuwawa msituni huko Korogwe, na pembeni ni mtoto wake ambaye pia alichomwa moto kwenye tukio hilo hilo. Kwenye kadhia hiyo pia binti wake wa kazi nae aliuwawa, naarifiwa anazikwa Tanga leo pia. Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvuView attachment 3109958View attachment 3109959
Ulichoongea ni kweli kabisaOkay.
Kuna maswali mengi Sana kuhusu suala hili.
1. Alikuwa anajishughulisha na kazi gani hasa?
2. Aliolewa? 3. Baba wa mtoto wake yuko wapi? 4. Hali yake ya mahusiano yake ipoje?
5. Je, ni kweli kwamba baba wa mtoto wake anayejulikana na jamii ndiye baba mzazi halisi wa mtoto wake aliyekuwa naye? Or there was a problem/conflict of paternity fraud between them???????
Suala hili la Paternity Fraudulent activity linapaswa kuangaziwa kwa kina zaidi kwenye Mikasa ya mauaji kama hii kwa sababu wanawake wengi Sana siku hizi wanapenda kuwabambikizia wanaume watoto wasiokuwa wao kiuhalisia.
Kabla ya maiti za huyo mama na mwanae hazijazikwa, ni vyema Sana Jeshi la Polisi wakatoa AMRI kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwenda kuchukua sampuli za vinasaba vya kupima DNA kutoka kwa hizi maiti Mbili. Maiti zisizikwe kabla ya kuchukuliwa kwa sampuli za kupima DNA, sambamba na kuchukua sampuli za vinasaba vya DNA kutoka kwa huyo Mwanaume ambaye anahusika na ubaba (partenity) wa huyo mtoto aliyeuawa pamoja na mama yake.Mume aulizwe sana
Picha ya mfanyakazi haipo!, Wao hawajafiwa??Huyu ndiye Dada Jonais (Mzaliwa wa Mwika Kilimanjaro) aliyekutwa ameuwawa msituni huko Korogwe, na pembeni ni mtoto wake ambaye pia alichomwa moto kwenye tukio hilo hilo. Kwenye kadhia hiyo pia binti wake wa kazi nae aliuwawa, naarifiwa anazikwa Tanga leo pia. Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvuView attachment 3109958View attachment 3109959