Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huyu ndiye Dada Jonais (Mzaliwa wa Mwika Kilimanjaro) aliyekutwa ameuwawa msituni huko Korogwe, na pembeni ni mtoto wake ambaye pia alichomwa moto kwenye tukio hilo hilo. Kwenye kadhia hiyo pia binti wake wa kazi nae aliuwawa, naarifiwa anazikwa Tanga leo pia.
Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvu.
Huku Kilimanjaro pia walikuwa na msiba wa baba yao mdogo alikuwa azikwe jana ila baada ya taarifa za kifo cha huyo dada wamesitisha zoezi hili. Tetesi zinasema (Huenda walichukuliwa kinguvu nyumbani kwao na kupelekwa kwenye msitu na kufanyiwa unyama huo) Kiufupi maumivu ya familia hii hayaelezeki. Mungu awatie nguvu.