Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Kuna hujuma ya kupunguza mapato ya nchi dhidi ya sheria tata za pollice wetu, baada ya hizi ajali za mara kwa mara police wameweka sheria hizi gari za IT kutokubeba mtu zaidi ya dereva tu.
Sasa unakuta mtu anakuja kuchukua gari yake, hapohapo afanye shopping, aje na mkewe au mtoto wake, atakua amechangia kodi kubwa tu, Mtu amepitishia truck au bus, inabidi akodi dereva amuendeahe na yeye asimamie gari yake anunue na mizigo yake Kariakoo, hapo amechangia pato la taifa.
Police wetu wamegeuza hiyo ni mradi, gari awepo dereva tu. Usiweke hata box moja ndani ya gari nishida njia nzima. Sasa hivi wa congoman na wazambia wameanza kupitishia mizigo yao Duban SA na Maputo msumbiji.
Wahusika tutizame shwalla hili.
Sasa unakuta mtu anakuja kuchukua gari yake, hapohapo afanye shopping, aje na mkewe au mtoto wake, atakua amechangia kodi kubwa tu, Mtu amepitishia truck au bus, inabidi akodi dereva amuendeahe na yeye asimamie gari yake anunue na mizigo yake Kariakoo, hapo amechangia pato la taifa.
Police wetu wamegeuza hiyo ni mradi, gari awepo dereva tu. Usiweke hata box moja ndani ya gari nishida njia nzima. Sasa hivi wa congoman na wazambia wameanza kupitishia mizigo yao Duban SA na Maputo msumbiji.
Wahusika tutizame shwalla hili.