othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
??Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Halafu tendo lenyewe hata nusu saa halimalizi sasa😁😁Ifutwe haraka iwezekanavyo, hili tendo linaleta migogoro na mikele sana.
Huyo achaga ku mtag ndugu yangu.atakuja chafua hali ya hewa hapa
Wewe ni mjinga kama hatoi mzigo unahangaika nae wa nnWakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Sasa utalazimisha hisiaNi rahisi na yeye kupiga chini kama Hana hisia nae pia
Duh! Aisee 🤔1. Ni hanithi wa kike hivyo hana hisia
2. Alikeketwa hivyo hisia zimepungua sana
3. Anakupenda kwa unavyomjali ila hana hisia za kingono nawewe
4. Kaongopewa kwamba ngono inazeesha
5. Ana mwingine ila hajawa na hakika naye.. Wewe umewekwa kama pori la hakiba
6. Ameingia kwenye vitendo vya usagaji
Si ndio hapo, tendo dakika 3 migogoro siku 365, hapana tendo lifutwe hiliHalafau tendo lenyewe hata nusu saa halimalizi sasa😁😁
Na wewe mueleze kuwa utamuhudumia kila Baada ya hiyo miezi mitatuWakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Mara nne kwa mwaka bado nyingi sana, iwe mara mbili.Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku
Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
Huyo manzi ndio anayeonekana 'alpha' wa hayo mahusiano.Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Uzi na ufungwe.Unamhudumia kwa kila kitu kwani ni mkeo? Au ni mzazi wake? Vijana acheni kujitwisha majukumu yasiyo yenu kisha mnakuja kulia lia humu.
Labda kama ni mchezo wa masumbwi, yani miezi mitatu nakuangalia tu?Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku
Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu