Uhuni katika mahusiano

Uhuni katika mahusiano

Nj mjita?
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
??
 
Tatizo lipo kwako broo.. mwanaume sio kuwa na kikojoleo tu, hebu kuwa na tabia za kiume mbele ya mwanamke. Binafsi ninachokiona ni kuwa jina tabia za kiume mbele ya mwanamke, wewe ni dhaifu sana na mapenzi yatakutesa sana.
Unamuhudumia mwanamke halafu sex unapangiwa bro!!
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Wewe ni mjinga kama hatoi mzigo unahangaika nae wa nn
 
1. Ni hanithi wa kike hivyo hana hisia
2. Alikeketwa hivyo hisia zimepungua sana
3. Anakupenda kwa unavyomjali ila hana hisia za kingono nawewe
4. Kaongopewa kwamba ngono inazeesha
5. Ana mwingine ila hajawa na hakika naye.. Wewe umewekwa kama pori la hakiba
6. Ameingia kwenye vitendo vya usagaji
Duh! Aisee 🤔
 
Kama ungekua mwanangu wa kiume ningekukata shingo, mwanamke kadri unavombembeleza na kumfuata ndivo anavozidi kukusumbua , achana nae tafuta mwingine huyo ana wake anaemuelewa na kumpa kila akitaka ,
 
Na wewe cha kufanya, piga pini huduma zote kimya kimya. Wala usimlazimishe kukupa.
Akileta huduma lipia afu pita hivi.
Akiweka kigingi, weka chuma.
Akiweka ugoko, weka jiwe.
Tit for tat....
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Na wewe mueleze kuwa utamuhudumia kila Baada ya hiyo miezi mitatu
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Huyo manzi ndio anayeonekana 'alpha' wa hayo mahusiano.

Mwanzoni inaonekana ulifeli kuweka standard zako may be ukihofia atakuja kukuacha na hapo ndipo ulipoteza kama mwanaume..

Demu anakuona wewe ni kumer oriented that's way anakuendesha atakavo. ..

Acha na huyo manzi mwanangu..Tafuta pesa.
 
Back
Top Bottom