Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #161
Nimekuelewa mkuuPiga chini huyo kiumbe, ukijifanya kukomaa naye baadae utatoa milio ya ambulance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa mkuuPiga chini huyo kiumbe, ukijifanya kukomaa naye baadae utatoa milio ya ambulance
Yeah nishachange gearWe endelea kuhudimiaa kuna boya anajilia muda wowote akitaka buree tu..
Hana kazi kwani,kilasiku haiwezekaniMbona hela mnataka kila siku
Hakika mkuuMpaka hapo wazee wa hit and run wanaongoza kwa point 3
Unyama sanaIli ale lazima aliwe tofauti na hapo akahudumiwe na wazazi wake
Ahsante sana mkuuHana mapenzi na wewe unatakiwa kuachana nae
Bac akubali kuolewaKama Hana wazazi
Shukran bloodPiga chini nyoko huyo..!! Akapewe mahitaji anakopeleka mbunye
Vipi kuhusu kuomba hela zetu? Mlijadili hilo pia?Ujamuoa unataka upewe kila siku...
Shika adabu yako...
NB: Kile kikao cha wanawake tulikubaliana kuwa tusiwape mpaka ndoa.
Ndo hivyo mkuu yaan uhudumie alafu utumie sabuni?Unyama sana
Huo ni ujinga halafu bila aibu anasema et tena hiyo miez miwili atakuwa amenihurumia sana nikaona huyu msenge sema sikumjibu kitu halafu na leo alipanga akitoka job aje kulala magetoni halafu asubuh nimpe hela ya kusuka. Yani nawaza hapa nimfanye nini huyu kiumbe halafu nimkatae mazimaNdo hivyo mkuu yaan uhudumie alafu utumie sabuni?
Sawa mkuu nimekuelwaMtu hakupendi, unalazimisha mambo. Jiongeze
We akija chapa alafu akikwambia hela ya kusuka mwambie haunaHuo ni ujinga halafu bila aibu anasema et tena hiyo miez miwili atakuwa amenihurumia sana nikaona huyu msenge sema sikumjibu kitu halafu na leo alipanga akitoka job aje kulala magetoni halafu asubuh nimpe hela ya kusuka. Yani nawaza hapa nimfanye nini huyu kiumbe halafu nimkatae mazima
Usiwe unanitag na MABIBI KIZEE YA JF
Ukiona unaenda zaidi ya nusu saa jua wewe ni jobless 😁😁😁😁Una uhakika
Kikao cha wanaume tumekubaliana yafuatayoUjamuoa unataka upewe kila siku...
Shika adabu yako...
NB: Kile kikao cha wanawake tulikubaliana kuwa tusiwape mpaka ndoa.
Muulize mkuu😁Hivi kwanini huyo jamaa anajiita BOLO TOBA