Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akikupa anakupangia pa kumwagia?Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Ulimkomesha aisee😁Kweli ata mimi nilikua nae kama huyo yeye alikua anataka nimsaidie yeye tu ila kunisaidia mimi hataki na uwezo huo anao nikaona nimteme. Yani ukimuomba sexy anakua mgumu kutoa, Sasa kuna siku katuma sms ya kuniomba pesa nika mjibu pesa zangu zina mambo mengi ya kufanya tokea siku hiyo sikumtafuta wala na yeye haja nitafuta.
Na kashafika mkuuMkuu vip si kasema anakuja kulala kwako sasa una feli wapi mwambie aje Asubuhi unampa nauli tu ndiyo inakua mwisho na mwanzo wa kumtafuta
Aisee,Na kashafika mkuu
We Kula mzigo kesho mpe nauli asepe zake lakini fanya hivyo kama una mademu wengi ili umtoe huyu kwa mkopo sehemu ili mwingine azibe nafasi fastaNa kashafika mkuu
Km ni huyo wa hapo TICD achana naye...Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Piga chini huyoWakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Yaani mara nne tu kwa mwaka!, aisee embu jadilini upya hili swala kiongoziKama hutaki uhuni muoe akupe kila siku
Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
sasa akitaka aweze kutokumtafuta ni kwamba atafute manzi mwingine ili awe bize naye.Dogo acha kujifariji,kumuacha huwezi,wewe ni dhaifu sana kwake,
Kama ungekua na nia ya kumuacha wala usingeona umuhimu wa kuanzisha huu uzi,
Usipojikaza utateseka sana kisha huyo Mwanamke atakuja kukuacha halafu utajutia muda wako na rasilimali zako ulizozipoteza,
Kata huduma zote kwa hiyo Mbuzi,usimtafute wala usionyeshe kumjali,usijifanye kusikitika juu yake,namaanisha usionyeshe unyonge,piga kimya,baada ya muda mfupi,yeye ndio ataanza kukubembeleza wewe,hapo ndipo unaichakata kisha unaachana nae mazima.
hiyo hamuwezi maana hata nyinyi kuna mida huwa mnapata vinyege mshindo mnaweza ata kubaka mtu mzima asipokaa sawa.kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
Ushauri mzuri mkuu ata mimi nilikua nae kama huyu demu wa mshikaji awa mademu wakati mwingine sijui wanakua wamechanganyikiwa na Maisha utasikia wanasema Mimi nataka kuhudumiwa sasa unataka huduma kama Mwanandoa wakati siyo Mke yani Mabinti inabidi waambiwe ukweli kupitia kwa Wazazi wao,Wazazi tunapokaa kimya bila kuwaambia ukweli watoto wetu tutasababisha Masingle mother wengi, Vijana wakiume tumeshtuka tunakupa pesa ukijaa kwenye mfumo ukibeba mimba inakua ya Mwanamke peke yake na tunaikimbia.Sitisha huduma, mengine yatajisort baada ya kufanya hivyo.
Wanaume tumekuwaje sijui..
Sahihi kabisa mkuu, niliwahi kuwa na type hii, anataka huduma za mwezi as If tumeoana, akaweka kiwango chake kabisa, gas, umeme, maji, nauli ya kazini, chakula nk. Akaweka figure yakw hapo. Sikujibu lolote, mimi nikikutana nae nampa haki yake tunaachana, akasisitiza matumizi ya mwezi..nikamwambia siwezi kufanya hivyo, kama vipi nile kona tu!Ushauri mzuri mkuu ata mimi nilikua nae kama huyu demu wa mshikaji awa mademu wakati mwingine sijui wanakua wamechanganyikiwa na Maisha utasikia wanasema Mimi nataka kuhudumiwa sasa unataka huduma kama Mwanandoa wakati siyo Mke yani Mabinti inabidi waambiwe ukweli kupitia kwa Wazazi wao,Wazazi tunapokaa kimya bila kuwaambia ukweli watoto wetu tutasababisha Masingle mother wengi, Vijana wakiume tumeshtuka tunakupa pesa ukijaa kwenye mfumo ukibeba mimba inakua ya Mwanamke peke yake na tunaikimbia.
Pumba......Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.
Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa
Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.