Uhuni wa benki: Nimekatwa elfu 10 kutuma pesa benki moja kwenda nyingine

Uhuni wa benki: Nimekatwa elfu 10 kutuma pesa benki moja kwenda nyingine

Sasa mkuu ,Ile system ya bank to bank transfer mpo few users tu , kumaintain hizo systems ni expensive na bongo wengi benki Yao ni mattress ,mnaotumia makato yatakuwa juu tu ,personally situmii any online transaction platform ,I move cash physically to my own accounts
 
Back
Top Bottom