Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Nimetuma 15k from my CRDB to NMB😡😡😡 yaliyonikuta najuta; nimekatwa 10k uwiii napiga simu naambiwa bank to bank hata kama 500 to 500M cost 10k Jaman huu uhuni wa wapi mwe?
Kuna haja ya kufungua international bank tu
Kuna haja ya kufungua international bank tu