Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
 
Pambaneni zama zimebadirika no free entry
Sasa hivi udaktari ni kama procurement lazima ule interview dadeki

Miaka miwili high school , mitano chuo tena kwa mateso bila bata plus mmwaka mmoja wa intern,

Then pepa la leseni mwanzo wa intern na baada ya intern ukifeli no leseni


Ukitoboa leseni unakutana na interview 😆😆😆😆

Mbaya zaidi wanaokufanyia inyerview ni wenye diplona na advanced diploma za udaktari plus watu wa human resources
 
Mkuu wewe wataka kuwapangia jinsi ya kipanga interview zao, hiyo sio haki yako acha mchakato wao uendelea kwa fair game kwa kila mtu kigezo kama ni kwa kila mtu sioni ubaya hapo.
Unashindwa hata kuelewa hoja? Wapange wanavyotaka ila wawafahamishe wasailiwa in advance. Kama ni fair game how comes wengine wamekuja na vitambulisho vya ziada ambavyo havikutajwa kwenye barua ya wito ? Hili kosa kwa nchi zilizoendelea kama Marekani candidate akilalamika kuhusu hili mchakato wote wa uajiri unaanza upya. Ila kwa Tanzania anything goes.
 
Unashindwa hata kuelewa hoja? Wapange wanavyotaka ila wawafahamishe wasailiwa in advance. Kama ni fair game how comes wengine wamekuja na vitambulisho vya ziada ambavyo havikutajwa kwenye tangazo ? Hili kosa kwa nchi zilizoendelea kama Marekani candidate akilalamika kuhusu hili mchakato wote wa uajiri unaanza upya. Ila kwa Tanzania anything goes.
Wewe hujui ķwamba unaishi Tanzania banana republic.......
 
Serikali yatangaza ajira 10000,,,Wanaajiriwa 100,,,Huwaga tunafurahia kutangazwa kwa ajira,,lakini ukiona Idadi ya wanao ajiriwa na Idadi ya wahitajika katika tangazo,,,Huwaga nalia Sanaa,,,Tufurahi wakiajiriwa 9900 na wakaachwa 100,,,Hapo ndio Serikali imetoa ajira,,,Sio hayo Maigizo
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe ( own making).
Kuna vijana wamekuja na additiona identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Sasa mkuu si uzioneshe hizo additional IDs? Ni kama zipi?
 
Back
Top Bottom