Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Ila mkishastaaf ndio akili ya biashara inaanza kuja akilini mwenu. Ukiona kuna fursa ina maokoto zaidi ya udaktari kwanini usiupige chini. Hizo ni kazi za wito lakini kama unataka pesa unapoteza muda mkuu
Kuna Madaktari wana Pesa bro usiishi kwa kukariri Kairuki ilianza Jina ikaja Hospital sasa kuna Chuo

Kuna Daktari mmoja ana Vidispensary vipo vingi vingi sana Jamaa kila sehemu anajenga nyumba yenye mfanano wa hospital baadae anaigeuza kua dispensary na amenunua maeneo mengi sana, kwa hio kila mtu na akili yake kichwani mwake
 
Kama majina yamekosewa bora watafute barua izo tafauti na hapo nikukatwa
Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele

Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?
 
Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele

Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?
Ndio mkuu apo fanya uwe na barua ya kiapo kuepusha usumbufu maana utazuiwaa utabaki unalia tu
 
Back
Top Bottom