HahhahahahahNasubiria sherehe, nione kama tutaenda.
Tutaenda. Vicheko tutacheka na mvinyo tutagonga sana tu. Hakuna adui (au rafiki) wa kudumu kwenye hii mambo. Si umeona Zimbabwe?Nasubiria sherehe, nione kama tutaenda.
Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha
View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Ninampongeza Uhuru Kenyatta katika hili, mtu yeyote mwenye busara hawezi kuona aibu kuiga jambo jema, ninamuomba sana aendelee kuiga yale mema anayofanya Magufuli, hasa kupambana na rushwa na wafanyakazi wazembe, haraka sana aanzishe kampeni ya kuwafichua watumishi hewa na kuziba ukwepaji wa kodi, akimuiga Magufuli, nina uhakika ataisaidia sana Kenya, japo sio rahisi sana kumuiga Magufuli, inabidi uwe na roho ngumu na mbaya sana.Naskia JPM ndo alivumbua jinsi ya kutembea kwa miguu. Hapo awali zetu zilikuwa tu mtindo wa nyoka.
Kuwe na negative impact sasa siyo mwisho wa siku linageuka kuwa igizo uchumi unasinyaa.Ninampongeza Uhuru Kenyatta katika hili, mtu yeyote mwenye busara hawezi kuona aibu kuiga jambo jema, ninamuomba sana aendelee kuiga yale mema anayofanya Magufuli, hasa kupambana na rushwa na wafanyakazi wazembe, haraka sana aanzishe kampeni ya kuwafichua watumishi hewa na kuziba ukwepaji wa kodi, akimuiga Magufuli, nina uhakika ataisaidia sana Kenya, japo sio rahisi sana kumuiga Magufuli, inabidi uwe na roho ngumu na mbaya sana.
Nani wewe anaesifia uongozi wa sizonje acha uongo wewe,hao anaowanunua ndio wanaemsifiaRais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha
View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Kwenye hilo kwamba Nchi mbalimbali zinavutiwa na utendaji wa Rais Magufuli ACHA UONGO.Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha
View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Kwa ujinga wetu na kujidai kwetu tunaweza tusiendeNasubiria sherehe, nione kama tutaenda.