Uhuru aanza kumuiga Magufuli

Uhuru aanza kumuiga Magufuli

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha

magu.jpg

Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
 
Nasubiria sherehe, nione kama tutaenda.
Tutaenda. Vicheko tutacheka na mvinyo tutagonga sana tu. Hakuna adui (au rafiki) wa kudumu kwenye hii mambo. Si umeona Zimbabwe?
 
Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha

View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News


Safi sana Mh. Uhuru.....this is what we need, a president anayefanya kazi kweli si tu kuibia nchi na kuwapa wananchi matatizo zaidi. Big up Mheshimiwa.
 
Naskia JPM ndo alivumbua jinsi ya kutembea kwa miguu. Hapo awali zetu zilikuwa tu mtindo wa nyoka.
Ninampongeza Uhuru Kenyatta katika hili, mtu yeyote mwenye busara hawezi kuona aibu kuiga jambo jema, ninamuomba sana aendelee kuiga yale mema anayofanya Magufuli, hasa kupambana na rushwa na wafanyakazi wazembe, haraka sana aanzishe kampeni ya kuwafichua watumishi hewa na kuziba ukwepaji wa kodi, akimuiga Magufuli, nina uhakika ataisaidia sana Kenya, japo sio rahisi sana kumuiga Magufuli, inabidi uwe na roho ngumu na mbaya sana.
 
Ninampongeza Uhuru Kenyatta katika hili, mtu yeyote mwenye busara hawezi kuona aibu kuiga jambo jema, ninamuomba sana aendelee kuiga yale mema anayofanya Magufuli, hasa kupambana na rushwa na wafanyakazi wazembe, haraka sana aanzishe kampeni ya kuwafichua watumishi hewa na kuziba ukwepaji wa kodi, akimuiga Magufuli, nina uhakika ataisaidia sana Kenya, japo sio rahisi sana kumuiga Magufuli, inabidi uwe na roho ngumu na mbaya sana.
Kuwe na negative impact sasa siyo mwisho wa siku linageuka kuwa igizo uchumi unasinyaa.
 
Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha

View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Nani wewe anaesifia uongozi wa sizonje acha uongo wewe,hao anaowanunua ndio wanaemsifia
 
Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ametembea kwa miguu kwenda hazina kwa ziara ya kushtukiza kama alivyofanya magufuli alipochaguliwa. Nchi mbali mbali Duniani zimekuwa zikivutiwa na utendaji wa Rais Magufuli
Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Wizara ya Fedha

View attachment 635643
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Kwenye hilo kwamba Nchi mbalimbali zinavutiwa na utendaji wa Rais Magufuli ACHA UONGO.
Duniani wapi wanapenda Madikteta..??
 
1academ hiyo picha ya mwisho bana huyo msupa aliamua vipi? Yaani ye haoni huyo ni rais wa jamhuri tukufu ya Kenya? Naona wote wawili wana furaha tele hilo muhimu.
 
I like Uhuru..his favorite food ni Nyama choma na Tusker..safii! sio mshamba wala limbukeni kama fudenge! ana exposure!
 
Siku zote mwizi hujistukia mda wote huhisi afuatwa ili kujisaulisha inabidi afanye chochote ili mladi siku zipite, huyo kaiba kama magu alivyoiba ni lazima watafute mbinu za kuwasaulisha watu, sasa kwa vile mbinu za kuiba zinafanana matokeo yake hata mbinu za kusaulisha watu pia zinafanana.
 
Back
Top Bottom