MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
So that means what??Zambia wamemuomba kwa wiki kadhaa - Prof Kabudi
Ilipinda? Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno!!tuko bize tunanyoosha nchi
Ngoja muda ufike tuoneKwa ujinga wetu na kujidai kwetu tunaweza tusiende
Kweli nitaamini hayo maneno yako, kama tutaenda. Maana kama ni kaburi, bado hata udongo haujabadirika rangiTutaenda. Vicheko tutacheka na mvinyo tutagonga sana tu. Hakuna adui (au rafiki) wa kudumu kwenye hii mambo. Si umeona Zimbabwe?
Hahahaaa, watu hawashindwi hata kutengeneza tukio la kitaifatuko bize tunanyoosha nchi
Misaada au mikopo? Hebu kuweni na akili.wazungu wanamimina misaada
Ninampongeza Uhuru Kenyatta katika hili, mtu yeyote mwenye busara hawezi kuona aibu kuiga jambo jema, ninamuomba sana aendelee kuiga yale mema anayofanya Magufuli, hasa kupambana na rushwa na wafanyakazi wazembe, haraka sana aanzishe kampeni ya kuwafichua watumishi hewa na kuziba ukwepaji wa kodi, akimuiga Magufuli, nina uhakika ataisaidia sana Kenya, japo sio rahisi sana kumuiga Magufuli, inabidi uwe na roho ngumu na mbaya sana.
Uhuru atakuwa kama siyo Trekta basi binua mchanga.Kwani uhuru naye ni bulldozer Mkuu?????
Naona hadi sasa hivi bado hujaamini kwamba swahiba yenu Raila hatokuja kalia kiti cha urais. Uhuru ana haja ya kuonewa huruma na nani, wakati tuliompigia kura bado tupo? Bunge, seneti, kwenye County pia anaongoza kwa wingi wa wajumbe. Jubilee tibim, Jubilee tialalaaa!Mwizi seeking public sympathy!
Amekuibia Bagamoyo Port, SGR na bombardier?Mwizi seeking public sympathy!
Ameiba Eurobond money, youth fund na SGR money. His overseas' accounts r swollen with money he swindled from poor Kenyans like u!Amekuibia Bagamoyo Port, SGR na bombardier?
Tutaenda mmojawapo awe mama ama baba wote ni wa nyumba moja. Wao walikuja???Nasubiria sherehe, nione kama tutaenda.
Apitie na kumsabahi lisu kidogoTutaenda. Vicheko tutacheka na mvinyo tutagonga sana tu. Hakuna adui (au rafiki) wa kudumu kwenye hii mambo. Si umeona Zimbabwe?
Yeye alikujaTutaenda mmojawapo awe mama ama baba wote ni wa nyumba moja. Wao walikuja???
Kamau siku zote anajua kuibaUhuru atakuwa kama siyo Trekta basi binua mchanga.