Uhuru afika kanisani bila walinzi akiendesha gari aina ya Mercedes G-Wagon.

Wakenya bhana hapo utakuta hata mchungaji ana chamoto kumlinda waache sifa za kijinga
 
Unajidanganya. Taasisi ya Urais ina nguvu na mtandao mpana kuliko unavyoelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Najidanganya kwa lipi.I am just reporting what happened.Hakuwa na visible bodyguards na maving'ora na nini na nini.Marais wangapi wana ujasiri wa aliyofanya yeye?We should commend him instead of scoffing him.I know there could be ununiformed security officers around.
 
Kitendo cha hatari sana hiki kwa usalama wake, sio kizuri hasa kwa Mh. Rais..!! No, i don't support this kabisa
Ni kweli,ila it shows how confident he is with the level of security in Kenya.
 
Mleta mada ukijua tofauti kati wa walinzi na ulinzi utaona ulichoandika ni maigizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…