Sio kama hana walinzi,walinzi wanakuwa hawako mbali na hapo alipo,ni kitu kinakuwa kimeandaliwa,wasiokuwepo hapo ni bodyguards ambao wanakuwa karibu kila anapokuwa,na ukitaka ku prove kuwa walinzi wapo jaribu kumkata kibao,that is when you can realise that you have made a big mistake ever......
Usiwe na hofu mkuu, haya mambo yanafanyika kwa siri sana, wale jamaa huwa wanatangulia mapema sana na kuna unknown security viruses huwa wanajua na kuangalia kila kitu pasipo wewe kujua.Kitendo cha hatari sana hiki kwa usalama wake, sio kizuri hasa kwa Mh. Rais..!! No, i don't support this kabisa
Umeandika uharoRais Kenyatta anajitahidi sana kujishusha! angekuwa mzungu angeingizwa kwenye Guinness world record siyo mshamba wa madaraka kama huyu wa kwetu.
Hahahaha Uhuru atabaki kuwa juu.Mzee wa liquid
Sent from my iPhone using Tapatalk
Siyo mchezo ina maana alikuwa na taarifa za westgate lakini akaacha waendele?Yeye ndiye mkuu wa usalama nchini mwake, kwa hivyo ana taarifa zote kuhusu uwezo wa El Shabab kuweza kumdhuru.
Usizungukezunguke. Eleza jinsi "Mbowe " anavyotembea na kikosi cha JWTZ, FFU, GD POLICE, mgambo, skauti, helicopters, detectors, mbwa na kundi la wachawi🔙Mbowe huyo😂😂😂😂😂
Mimi sitaki kuamini hata kodogo kuwa yawezekana alikuwa peke yake.
Angejaribu kuguswa ndio mngejua hakuwa peke yake.
Mnataka kutuletea story za bongo za wananchi kuzuia msafara wa Raisi.
Presidential convoy inavyokuwa speed vile ?
Nakuelewa mkuu,ila hata hili alilolifanya Uhuru hata kama security officers walikuwa at a distance is commendable.Cha ukakika hapo ni kuwa aliendesha gari peke yake, hayo mengine ya kuwa peke yake bila ulinzi hayawezekani wala hayapo.
Kwamba walinzi wa zamu sku hiyo walibaki ikulu wanaangalia TV wakati rais yuko kanisani[emoji3][emoji3][emoji3]
Don't be swayed that easily mkuu
Hayo ni mawazo yako.Uliwaona wakiwa huko nyuma kwenye vioo vya tinted?Uhuru sio wa kwanza mkuu,kwa hiyo huna haja ya kujenga mahekalu ya barafu.Hapo mnapigwa changa la macho, kwa kuwa gari iko tinted, walikwemo kwenye viti vya nyuma. Aidha, hao wote anaosalimiana nao ni watu wa "mfumo". Hiyo issue yotr imepangwa, walinzi walifika hapo kanisanisani tangu jana yake jioni.
Hizi public stunt afanyie Turkana basi kama hawajamla live! Naskia those Kenyans overthere r carnibals now!Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza waumini wa kanisa la Holy Basicilla baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru aliendesha gari aina ya Mercedez G-Wagon mwenyewe bila ya kuandamana na mlinzi hata mmoja. Waumini walifurahi walipoona Rais ambaye aliwasalimu baadhi yao mkononi.
Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza baadhi ya waumini wa kanisa la Holy Basilica jijini Nairobi baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru ambaye alionekana kuwa mchangamfu, alifika kanisani humo akiendesha gari aina ya Mercedes G- Wagon.
Waumini wa kanisa hilo walijawa na furaha kulingana na picha kadhaa tulizoweza kuziona hapa TUKO.co.ke.
Hii sasa ni mara ya pili kwa kiongozi huyu wa taifa kuonekana akiwa pekee yake bila walinzi, itakumbukwa kuwa ni hivi majuzi tu ambapo Uhuru alionekana akiendesha gari mwenyewe jijini Nairobi huku msongamano wa magari ukishuhudiwa.
Uhuru amewathibitishia Wakenya kuwa ni mmoja wa marais ulimwenguni mzima ambaye anaweza kukutana na raia wake wakati wowote bila walinzi.
View attachment 1054160
But how many presidents can do what Uhuru has done,in a self drive and without visible security officers?Kuuawa sio kigezo kuwa hakuna ulinzi, maana kuuawa kwa viongozi kama hao huwa ni inside job.
Maana yangu ni kwamba, hakuna mkuu wa nchi atatoka bila ulinzi. (Simaanishi walinzi japo walinzi ni sehemu ya ulinzi)
Hiyo ni sababu tosha ya Uhuru kuwa na ulinzi.Inawezekana alikuwa na taarifa kwamba watashambulia,ila hakujua target.There are so many targets kwa hiyo sio rahisi kuzi-manage zote.
Story za bongo.Unamfahamu Raid wa Uruguay aliyetwa Jose Mujica.Alifanya ya ajabuMimi sitaki kuamini hata kodogo kuwa yawezekana alikuwa peke yake.
Angejaribu kuguswa ndio mngejua hakuwa peke yake.
Mnataka kutuletea story za bongo za wananchi kuzuia msafara wa Raisi.
Presidential convoy inavyokuwa speed vile ?
Lakini hata kuendesha mwenyewe bila ving'ora ni mafanikio mkuu.Hata hivyoCha ukakika hapo ni kuwa aliendesha gari peke yake, hayo mengine ya kuwa peke yake bila ulinzi hayawezekani wala hayapo.
Kwamba walinzi wa zamu sku hiyo walibaki ikulu wanaangalia TV wakati rais yuko kanisani[emoji3][emoji3][emoji3]
Don't be swayed that easily mkuu
Asili ya hiyo gari ni moja ya magari ya kivita.Uhuru ambaye alionekana kuwa mchangamfu, alifika kanisani humo akiendesha gari aina ya Mercedes G- Wagon.