Hili alilofanya Uhuru ni dogo.Fuata link ifuatayo uone aliyofanya Rais wa Uruguay.Hii ni extreme case lakini Wapo wengine waliotembea bila ulinzi!Hiyo danganya toto tu, no way rais wa nchi anatoka bila ulinzi, hakuna.
Hapana tanzania utakuta mtu ni ________ lakin anatembea na kijiji. Halaf ni ccmHapa Tanzania utakuta mtu ni mbowe tu lakini amezungukwa na walinzi kibao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.Hili alilofanya Uhuru ni dogo.Fuata link ifuatayo uone aliyofanya Rais wa Uruguay.Hii ni extreme case lakini Wapo wengine waliotembea bila ulinzi!
Uruguay's president José Mujica: no palace, no motorcade, no frills
Bila walinzi sababu huwaoni.Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza waumini wa kanisa la Holy Basicilla baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru aliendesha gari aina ya Mercedez G-Wagon mwenyewe bila ya kuandamana na mlinzi hata mmoja. Waumini walifurahi walipoona Rais ambaye aliwasalimu baadhi yao mkononi.
Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza baadhi ya waumini wa kanisa la Holy Basilica jijini Nairobi baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru ambaye alionekana kuwa mchangamfu, alifika kanisani humo akiendesha gari aina ya Mercedes G- Wagon.
Waumini wa kanisa hilo walijawa na furaha kulingana na picha kadhaa tulizoweza kuziona hapa TUKO.co.ke.
Hii sasa ni mara ya pili kwa kiongozi huyu wa taifa kuonekana akiwa pekee yake bila walinzi, itakumbukwa kuwa ni hivi majuzi tu ambapo Uhuru alionekana akiendesha gari mwenyewe jijini Nairobi huku msongamano wa magari ukishuhudiwa.
Uhuru amewathibitishia Wakenya kuwa ni mmoja wa marais ulimwenguni mzima ambaye anaweza kukutana na raia wake wakati wowote bila walinzi.
View attachment 1054160
Jambo la kujiuliza ni kwa nini kufanya comedy kama hiyo ?Nakuelewa mkuu,ila hata hili alilolifanya Uhuru hata kama security officers walikuwa at a distance is commendable.
Wangapi wameweza hata hili?Let us praise him instead of scoffing him.But why?
Jiulize kwanza the motive behind kufanya yote hayo.But how many presidents can do what Uhuru has done,in a self drive and without visible security officers?
Unatakiwa kuwa Critical Thinker, shughulisha ubongo wako kwa kujiuliza ni kwa nini kaamua kuanya hivyo.Hayo ni mawazo yako.Uliwaona wakiwa huko nyuma kwenye vioo vya tinted?Uhuru sio wa kwanza mkuu,kwa hiyo huna haja ya kujenga mahekalu ya barafu.
Huyu wa kibongo siyo tu kwamba ni mshamba bali hata nafasi ya kuwa Rais hakustahili. CCM waliamua kumsimika yeye siyo kwa sababu alikuwa anafaa, hapana ilikuwa ni kukinusuru chama ndiyo maana waliamua kuliweka hili garasha.Rais Kenyatta anajitahidi sana kujishusha! angekuwa mzungu angeingizwa kwenye Guinness world record siyo mshamba wa madaraka kama huyu wa kwetu.
Mkuu ni Africa tu, wengi wa maraisi wa western Europe wapo simple sana labda jirani zao wa far eastern Europe.Kuna yule Raisi mstaafu wa uruguway somebody Jose Mujica yeye hata hakuwa anakaa ikulu na hospitali anaenda za umma za kawida naakikuta foleni na yeye anapanga....
Sent using Jamii Forums mobile app
Garasha ni wewe hapo na maisha yakoHuyu wa kibongo siyo tu kwamba ni mshamba bali hata nafasi ya kuwa Rais hakustahili. CCM waliamua kumsimika yeye siyo kwa sababu alikuwa anafaa, hapana ilikuwa ni kukinusuru chama ndiyo maana waliamua kuliweka hili garasha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima ulikuwepo maana siyo rahisi kuutambua kwa macho ya kawaidaSijui.
Wewe ukweli huwa unaupata wapi.Unasema hii sio kweli kwa sababu gani,just because you believe it's not true?I believe you have preconceived ideas and you are also trying to protect a certain entity.Mini na discuss hii issue kama ilivyo not in relationship with anybody or anything.Sio kweli.
Sidhani kama kuna motive yeyote,I believe he just wanted to be free,do what he wants to do as a human being.The presidential environment frankly is inhumane and veryJiulize kwanza the motive behind kufanya yote hayo.
Tatizo lako ni kwamba you have preconceived ideas,mimi sina,I am looking at what Uhuru did.Unatakiwa kuwa Critical Thinker, shughulisha ubongo wako kwa kujiuliza ni kwa nini kaamua kuanya hivyo.
Hahahaha Uhuru atabaki kuwa juu.
Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza waumini wa kanisa la Holy Basicilla baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru aliendesha gari aina ya Mercedez G-Wagon mwenyewe bila ya kuandamana na mlinzi hata mmoja. Waumini walifurahi walipoona Rais ambaye aliwasalimu baadhi yao mkononi.
Rais Uhuru Kenyatta aliwashangaza baadhi ya waumini wa kanisa la Holy Basilica jijini Nairobi baada ya kufika kanisani humo akiwa pekee yake bila walinzi.
Uhuru ambaye alionekana kuwa mchangamfu, alifika kanisani humo akiendesha gari aina ya Mercedes G- Wagon.
Waumini wa kanisa hilo walijawa na furaha kulingana na picha kadhaa tulizoweza kuziona hapa TUKO.co.ke.
Hii sasa ni mara ya pili kwa kiongozi huyu wa taifa kuonekana akiwa pekee yake bila walinzi, itakumbukwa kuwa ni hivi majuzi tu ambapo Uhuru alionekana akiendesha gari mwenyewe jijini Nairobi huku msongamano wa magari ukishuhudiwa.
Uhuru amewathibitishia Wakenya kuwa ni mmoja wa marais ulimwenguni mzima ambaye anaweza kukutana na raia wake wakati wowote bila walinzi.
View attachment 1054160