Kwani hizo taasisi si zinatakiwa ziwe huru (Au angalau zionekane zipo huru)? mtu akihusihwa na tuhuma ndio ana step downDuh, Naona roundi hii ameamua kufa kupona ameachia CID , EACC na DPP kuamua kila kitu katika vita dhidi ya Ufisadi, Rais ameinua mkono hataki kuhusishwa, mkuu wa mashataka DPP akiamua kumshika mtu yeyote afanye atakalo !!!!
Ingekua vizuri zaidii kama pia yeye angekua anafuta watu kazi, lakini vile tunajua siasa za Kenya hakuna popote angefika... Angeambiwa ana target wapinzani na jamaa kutoka kambi ya ruto!
Mskize Rais alivyoongea kule Mombasa, utadhani kapandwa na kichaa, what is he talking about???? Atupatie uhondo!!!
Duh, Naona roundi hii ameamua kufa kupona ameachia CID , EACC na DPP kuamua kila kitu katika vita dhidi ya Ufisadi, Rais ameinua mkono hataki kuhusishwa, mkuu wa mashataka DPP akiamua kumshika mtu yeyote afanye atakalo !!!!
Ingekua vizuri zaidii kama pia yeye angekua anafuta watu kazi, lakini vile tunajua siasa za Kenya hakuna popote angefika... Angeambiwa ana target wapinzani na jamaa kutoka kambi ya ruto!
Mskize Rais alivyoongea kule Mombasa, utadhani kapandwa na kichaa, what is he talking about???? Atupatie uhondo!!!
sheng waapiii! hipo siku atatapika jukwaani na ma-hang over!Mi sioni shida iko wapi. Ni venye aliamua kuongea sheng'. Sheng' ni lugha ya taifa ya vijana na kwangu naona ako tu sawa. Infact aendelee kuongea sheng' even more ndio mayutman warelate na yeye even more.
Official speech alisoma na Kizungu, alafu alipomaliza speech ndo akaongezea 'current affairs' na AOBMzee alikua ana speech nzuri ya kuitoa Lakini hajui kuongea hajui kupangilia speech.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba kuwa na hasira Kidogo.mambo yanazidi nogaaa
Nimeipata kiongozi.Official speech alisoma na Kizungu, alafu alipomaliza speech ndo akaongezea 'current affairs' na AOB
Full speech yake unaeza ukaisikiza kwa soundcloud.com
https://www.facebook.com/StateHouseKenya/posts/2901949979820507
https://www.facebook.com/
Mihemko na mikwara. DCI Aanze na familia ya kenyattaDuh, Naona roundi hii ameamua kufa kupona ameachia CID , EACC na DPP kuamua kila kitu katika vita dhidi ya Ufisadi, Rais ameinua mkono hataki kuhusishwa, mkuu wa mashataka DPP akiamua kumshika mtu yeyote afanye atakalo !!!!
Ingekua vizuri zaidii kama pia yeye angekua anafuta watu kazi, lakini vile tunajua siasa za Kenya hakuna popote angefika... Angeambiwa ana target wapinzani na jamaa kutoka kambi ya ruto!
Mskize Rais alivyoongea kule Mombasa, utadhani kapandwa na kichaa, what is he talking about???? Atupatie uhondo!!!
Walishapewa ruksaMihemko na mikwara. DCI Aanze na familia ya kenyatta