joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wakenya ninyi sio watu wema, mnachojali ni maslahi tu. Sasa hivi mnajaribu kuonyesha mapenzi kwa Tanzania kwasababu mnahitaji sana kufanya biashara na Tanzania, lakini Tanzania ilipokua na matatizo ya kuwekewa vikwazo na wazungu kutokana na ushiriki wetu wa kuzikomboa nchi za Africa, mlitutenga na hamkutaka kabisa kujihusisha na sisi, mlikua bega kwa bega na wazungu wakati huku tunapambana wenyewe, hata wakati tukipigana na Idd Amin, mliendelea kumruhusu kutumia bandari ya Mombasa kupitisha silaha zake.Dont be good to Tanzanians this are the results
You didn't do any good to us, those are our properties msijifanye mmetusaidia chochote.Dont be good to Tanzanians this are the results
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Cry baby syndrome
A hungry man can't fight. Kinachowasimbua ni njaa, mnalazimisha tuwe ndugu ili tuwape chakula, sikiliza hii" statement" ya katibu MKUU wa KILIMO wa Kenya, anakiri kwamba amekimbilia Tanzania kuomba chakula.
Ndio maana wewe sio rais. Huonekani ata kama una dakili za kuongoza vena familia yako.1.mlichoma kuku zetu 5000 za mwana biashara aliye na vibali zote na haki ya kufanya biashara yake.
2.mliuza ngombe za wamasai na kukula izo pesa ikabidi serikali ya Kenya igaramike na kulipa Hao wamasai pesa mingi kwa sababu hizo ngombe ndizo zilikua zinawasaidia kwa Hali Yao ya maisha ya kila siku.
3.mnazuia bidhaa za Kenya kuingia Tanzania ilhali bidhaa za Tz huingia Kenya bila uzuizi wowote.
Uhuru has failed me as a President by licking Tanzanias ass.
Tit for Tat is a fair game and we had a chance to revenge against this bad hearted neighbour's, Magufuli may look happy and friendly towards Uhuru but deep down he has unending hate towards Kenya.
After this generous act let's wait for Tz to return us a favor and I am sure it won't happen in the near future and in future.
I hate acts of bootlicking and Uhuru should go the Trump way of not entertaining enemies who wear a goat appearance but inside they are greedy hyenas.
#myopinion.
Kuna tani laki moja ya mahindi inakuja kusaidia kupunguza njaa kenya na ku stabilize uchumi wenu,acha.nyodo uhuru ilikua lazima arudishe hiyo dhahabu ili wewe upate mahindiUhuru has failed me as a President by licking Tanzanias ass.
Ha hahahaha, those things have been smuggled and sold over many years there is nothing you can do about it. We are not Uganda whom you invaded and furthermore Tanzania can not handle Uganda now(you will be obliterated in a week). Go pick a fight with burundi or rwanda and let the big boys (Kenya, ethiopia and uganda), talk.Angeuza angejua tz ni nani
Kuna tani laki moja ya mahindi inakuja kusaidia kupunguza njaa kenya na ku stabilize uchumi wenu,acha.nyodo uhuru ilikua lazima arudishe hiyo dhahabu ili wewe upate mahindi
Hahahaha, without Tanzania ninyi hamuwezi kuishi. Ndio sababu lazima muwe na adabu, hata tukiwatia vidole sehemu za makalio hamuwezi kufanya lolote zaidi ya kulalamika.Anajua Tz wako na akili ndogo so ni kucheza na hizo IQ zao
wewe embu kula maharage uvimbiwe ukalale naona una talk upoyoyo tu hapo yani the weak KDF wapambane na JW acha kuchekesha ummaHa hahahaha, those things have been smuggled and sold over many years there is nothing you can do about it. We are not Uganda whom you invaded and furthermore Tanzania can not handle Uganda now(you will be obliterated in a week). Go pick a fight with burundi or rwanda and let the big boys (Kenya, ethiopia and uganda), talk.
Why not try and find out how weak we are, even your own president and god admitted our forces are better than yours.wewe embu kula maharage uvimbiwe ukalale naona una talk upoyoyo tu hapo yani the weak KDF wapambane na JW acha kuchekesha umma
mngejuaje tulizishika kama tungenyamazia
Hivi mkulima wa Tanzania kupata soko nchi jirani nalo shida? CCM mnaumwa kweli.A hungry man can't fight. Kinachowasimbua ni njaa, mnalazimisha tuwe ndugu ili tuwape chakula, sikiliza hii" statement" ya katibu MKUU wa KILIMO wa Kenya, anakiri kwamba amekimbilia Tanzania kuomba chakula.
hahaha acha kunichekesha at your forces are better than ours, nenda kawaulize kilichowapata waliposogeza pua zao somalia then jibu utabaki nalo mwenyeweWhy not try and find out how weak we are, even your own president and god admitted our forces are better than yours.
Go ask your president, while you are at it go to global firepower. You guys are too scared to even move close to al-shabaab instead you are breeding future terrorists and exporting them to other eac countries.hahaha acha kunichekesha at your forces are better than ours, nenda kawaulize kilichowapata waliposogeza pua zao somalia then jibu utabaki nalo mwenyewe