Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Alichozungumza Uhuru kimechanganyika siasa na ukweli. Supreme court, hata kwa tusiojua sheria, imekwenda kwenye uamuzi wa mbele sana bila sababu. Kama tatizo lilikuwa kwenye ujumlishaji na utangazaji kwa nini haikutoa order ya recounting. Hiyo imewahi kufanyika pia USA. Mifumo ya kielektroniki iliwekwa pembeni na uhesabuji wa kura ulifanyika manually.
Naona hata baadhi ya wachumbuzi wa masuala ya mataifa haya makubwa wameelezea kushangazwa na kuitisha uchaguzi upya badala ya kuitisha uhesabuji wa kura upya. Mahakama yenyewe haijaeleza kama kulikuwa na tatizo katika upigaji kura. Imeeleza kulikuwa na tatizo kwenye mitatizo kwenye mitambo ya IT. Je, ikitokea tena ikaonekana IT systems zimefail au kuchezewa, wataitisha uchaguzi tena?
Kuitisha uchaguzi upya ni gharama kubwa, na inapowezekana kuepusha, inastahili kuepuka.
Naona hata baadhi ya wachumbuzi wa masuala ya mataifa haya makubwa wameelezea kushangazwa na kuitisha uchaguzi upya badala ya kuitisha uhesabuji wa kura upya. Mahakama yenyewe haijaeleza kama kulikuwa na tatizo katika upigaji kura. Imeeleza kulikuwa na tatizo kwenye mitatizo kwenye mitambo ya IT. Je, ikitokea tena ikaonekana IT systems zimefail au kuchezewa, wataitisha uchaguzi tena?
Kuitisha uchaguzi upya ni gharama kubwa, na inapowezekana kuepusha, inastahili kuepuka.