Sera bora ambayo haijawahi kutokea.
Mwanadamu yeyote yule anahitajika kuwa huru katika maamuzi, na hii ndio maana kamili ya utashi. Hongereni CHADEMA.
Haki kila mwanadamu yeyote yule anazo haki zake za msingi , ikiwa ni pamoja na tiba, elimu, kuishi, nk
Maendeleo, kila mwanadamu anahitaji maendeleo yake binafsi iwe ni katika kilimo, kazi, biashara, nk. Ukishawawezesha watu wako mmoja mmoja kupata maendeleo ndipo unakuja na maendeleo ya ujumla.
Watanzania ebu tuangalie tulikotoka na hali tuliyonayo tusirudie makosa. Kwa kauli mbiu ya hii ya CHADEMA, nawapa hongera.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.