Uchaguzi 2020 Uhuru, Haki na Maendeleo: Sera bora kabisa kuwahi kutokea

Sera ya CHADEMA ya Uhuru na Haki yawagusa viongozi wa juu CCM Mpya

Bashiru Ally katibu Mkuu wa CCM Mpya ajitokeza na kurudia neno uhuru, uhuru lililopo ktk Ilani na kampeni za CHADEMA na kuonekana akubali umuhimu wa Uhuru kwa wakulima, wafanyakazi, waTanzania na ...
 
CCM Mpya waanza kuelewa somo la Uhuru na Haki hivyo kujaribu kuja na tafsiri yao juu ya maana ya Uhuru kwa wote kitu walichokisahau hata katika kushirikisha au kushawishi umma wa waTanzania kupewa uhuru wa kutoa maoni nchi iendeshwe vipi na kodi zitumike namna gani.
 
The best manifesto ever
 
Imepenya kila mahali. Watakubali tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…