Uhuru hana tena Moral Authority ya kuwa Rais Wa Kenya..

Uhuru hana tena Moral Authority ya kuwa Rais Wa Kenya..

Katika miaka yote ya mauaji waliuliwa albino 70+, kuanzia August tu hadi leo Jaluo 60 wameshatafunwa, leo magari 15 ya kubeba nyama ya Jaluo yamepelekwa, ikifika Desemba Jaluo 400 watakuwa wameshachinjwa, very primitive society indeed
Primitive is you who will live all your life kneeling. Your children, same fate. Just because no one had the cahones to stand up like a man. I mean Lissu is shot and it is reported as Sportsnews!
 
Look at yourself you have been ruled by the same thiefs, sell outs, ONE party since indepence and you have never complained even ONCE. Do you want to enter into the guiness book of records or something?
What change did u idiots make by rebranding KANU to JUBILEE?
Watu wale wale wanacheza na akili zenu,

Kindly find your all presidents in one photo. And they have a plan to rule Kenya til Jesus comes back. Ufala kama huo hautakaa utokee Tanzania.

[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

tapatalk_1502603663010.jpeg
 
Primitive is you who will live all your life kneeling. Your children, same fate. Just because no one had the cahones to stand up like a man. I mean Lissu is shot and it is reported as Sportsnews!
Primitive ni watu wanakufa kama wadudu, watalii waliokuwa wanakuja huko wote wanakimbia because of your primitive life, wewe umeona wapi dunia ya leo watu wanapigana na kuuana kwa misingi ya ukabila zaidi ya Kenya, Somalia na South Sudan?, those are primitive countries
 
  • Thanks
Reactions: Oii
What change did u idiots make by rebranding KANU to JUBILEE?
Watu wale wale wanacheza na akili zenu,

Kindly find your all presidents in one photo. And they have a plan to rule Kenya til Jesus comes back. Ufala kama huo hautakaa utokee Tanzania.

[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

View attachment 612168
You are so daft you think they announced, all future presidents line up for a picture! A whole country that chooses to be ruled by a dictator, a crazy chemist. A country that no one has the guts to dermonstrate for their rights otr even speak their mind is a pu$$y country, fullstop!
 
Mimi nikiri wazi kuwa nilikuwa shabiki mkuu wa Uhuru Kenyatta kwa sababu ya mapenzi ya democrasia lakini kwa kinachoendelea kenya kwa sasa siwezi kuwa mnafiki kuendelea kushabikia upuuzi unaofanywa na serikali yake hakika sijui ni kwa kushauliwa au ni kwa makusudi .

Ingawa sijawai kuwa shabiki pia wa Siasa za Raila Odinga lakini kwa yanayoendelea kenya mwenye unafuu ni Raila kuliko Uhuru ..

Serikali kupitia police wanafanya mauaji ya kikabila its so sad sana watu zaidi ya 30 wote wa kabila la mgombea wa upinzani?..

Sasa hivi huyu mama wa IEBC kajiuzulu kwa sababu ya kutishiwa maisha na watu wa serikali kwa kweli ni aibu kwa mfuasi makini wa siasa za kidemocrasia kuendelea kumuunga mkono Mtu wa namna hii...

Hapa bado sijaweka mauaji ya Msando na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kabla ya Matiangi kiukweli ni laana ...

Uhuru kama alifanya haya kwa kujua basi hatakiwi kuendelea kuwa rais wa kenya taifa linalojipambanua ni taifa la democrasia namshauri ajiuzulu au awafukuze kazi waliomshauri kufanya uhalifu huo wa kinyama bado sioni nafasi yake tena kama rais mwenye heshima east africa .
Kwa hiyo ulitakaje?
Odinga anatuma watu wawachokoze police, kiu yake ni kuona damu inamwagika ili apate mercy ya Urais.
By the way ni mpango wa Mungu Kenyatta kuwa rais Kenya ili sisi CHADEMA tupate kimbilio, tazama tunavyopigwa risasi, Ben Saanane yuko wapi?
Long live Kenyatta, long live Jubilee.
 
Primitive ni watu wanakufa kama wadudu, watalii waliokuwa wanakuja huko wote wanakimbia because of your primitive life, wewe umeona wapi dunia ya leo watu wanapigana na kuuana kwa misingi ya ukabila zaidi ya Kenya, Somalia na South Sudan?, those are primitive countries
Uchumi wenu umekuwa zaidi ya wetu tangia uhuru? Shut up mbele ya waafrika wengine hata kukohoa lazima muombe ruhusa! Burundi wenyewe hawataki dikteta mnarudi nyuma. Mnatuaibisha sisi wanaE.Afrika.
 
Uchumi wenu umekuwa zaidi ya wetu tangia uhuru? Shut up mbele ya waafrika wengine hata kukohoa lazima muombe ruhusa! Burundi wenyewe hawataki dikteta mnarudi nyuma. Mnatuaibisha sisi wanaE.Afrika.
Usibadilishe topic, kubali kwanza, Kenya, Somalia and South Sudan are primitive countries because they live like wild animals killing each other
 
Uchumi wenu umekuwa zaidi ya wetu tangia uhuru? Shut up mbele ya waafrika wengine hata kukohoa lazima muombe ruhusa! Burundi wenyewe hawataki dikteta mnarudi nyuma. Mnatuaibisha sisi wanaE.Afrika.
Uhuru ndiye Dikteta kwa sasa anaongoza Afrika nzima, nyinyi ni primitive sana
 
You are so daft you think they announced, all future presidents line up for a picture! A whole country that chooses to be ruled by a dictator, a crazy chemist. A country that no one has the guts to dermonstrate for their rights otr even speak their mind is a pu$$y country, fullstop!
It's better you have told him the truth, Tanzania is the land of fools where nobody can claim his justice even if he is doomed to death.
 
Mimi nikiri wazi kuwa nilikuwa shabiki mkuu wa Uhuru Kenyatta kwa sababu ya mapenzi ya democrasia lakini kwa kinachoendelea kenya kwa sasa siwezi kuwa mnafiki kuendelea kushabikia upuuzi unaofanywa na serikali yake hakika sijui ni kwa kushauliwa au ni kwa makusudi .

Ingawa sijawai kuwa shabiki pia wa Siasa za Raila Odinga lakini kwa yanayoendelea kenya mwenye unafuu ni Raila kuliko Uhuru ..

Serikali kupitia police wanafanya mauaji ya kikabila its so sad sana watu zaidi ya 30 wote wa kabila la mgombea wa upinzani?..

Sasa hivi huyu mama wa IEBC kajiuzulu kwa sababu ya kutishiwa maisha na watu wa serikali kwa kweli ni aibu kwa mfuasi makini wa siasa za kidemocrasia kuendelea kumuunga mkono Mtu wa namna hii...

Hapa bado sijaweka mauaji ya Msando na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kabla ya Matiangi kiukweli ni laana ...

Uhuru kama alifanya haya kwa kujua basi hatakiwi kuendelea kuwa rais wa kenya taifa linalojipambanua ni taifa la democrasia namshauri ajiuzulu au awafukuze kazi waliomshauri kufanya uhalifu huo wa kinyama bado sioni nafasi yake tena kama rais mwenye heshima east africa .
Huyu hajui kabisa kile anachokisema.Kwani Raila ameuwa watu wangapi na uchochezi na maandamano zake za kila wakati? Unafikiri waandamanaji wale ni watu wa amani na kuheshimu mali ya watu?Raila alikiri kwa furaha sana eti alihusika na mapinduzi ya serikali mwaka wa 1982 ambapo zaidi ya watu 180 waliuawa. Odinga alichochea fujo za 41 vs 1 tribe na "No Raila ,No peace" hizo ndizo zilizoleta mauaji makubwa ya 2008. Ni kabila gani linahusika zaidi kwa maandamano na uharibifu wa mali? Mbona watu wa pwani wanaoandamana pia hawajapigwa risasi?

Sasa wewe unafiki wako huoni yale yote?
 
Kuna watu walimsifu Kenyatta kuwa baba wa democracy sasa wamegeuka, siasa za Africa huwezi kutabiri hasa kama una akili timamu
 
Comment #27 mwingine anaita rais wa Kenya Uhuru Kenya, comment #28 mwingine anaongelea Laila. Swali langu, hawa ni watz kweli au ni batu ba DRC?
Hata wewe umeandika batu badala ya watu jihukumu mwenyewe. Majina yao yalivyo na ujumbe nadhani umefika. Pia uko nje ya mada jadili hoja siyo majina.
 
Dunia inamuona, hata siku moja huwezi kuwa muumini wa demokrasia wakati huo unakataa maamuzi ya watu. Tume inalazimishwa kutoa matokeo yanayopendelea upande wa Uhuru. Serikali inaharibu pesa ya wananchi kwa ajili ya matokeo ya kighushi. Nchi inaingizwa kwenye gharama kwa uchaguzi ambao si wa wazi.
Afrika ina viongozi ambao ni wababe na wasiopenda mabadiliko. Wanaamini kuwa wao ndio vichwa na wengine hawawezi. Kila chaguzi wanapanga matokeo na kulitumia vibaya jeshi na polisi dhidi ya wapinzani wao. Hawafuati sheria japo wanaziweka wenyewe kwa ajili ya kuzugia. Ulevi huu wa madaraka lazima upingwe vikali.
 
Mimi nikiri wazi kuwa nilikuwa shabiki mkuu wa Uhuru Kenyatta kwa sababu ya mapenzi ya democrasia lakini kwa kinachoendelea kenya kwa sasa siwezi kuwa mnafiki kuendelea kushabikia upuuzi unaofanywa na serikali yake hakika sijui ni kwa kushauliwa au ni kwa makusudi .

Ingawa sijawai kuwa shabiki pia wa Siasa za Raila Odinga lakini kwa yanayoendelea kenya mwenye unafuu ni Raila kuliko Uhuru ..

Serikali kupitia police wanafanya mauaji ya kikabila its so sad sana watu zaidi ya 30 wote wa kabila la mgombea wa upinzani?..

Sasa hivi huyu mama wa IEBC kajiuzulu kwa sababu ya kutishiwa maisha na watu wa serikali kwa kweli ni aibu kwa mfuasi makini wa siasa za kidemocrasia kuendelea kumuunga mkono Mtu wa namna hii...

Hapa bado sijaweka mauaji ya Msando na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kabla ya Matiangi kiukweli ni laana ...

Uhuru kama alifanya haya kwa kujua basi hatakiwi kuendelea kuwa rais wa kenya taifa linalojipambanua ni taifa la democrasia namshauri ajiuzulu au awafukuze kazi waliomshauri kufanya uhalifu huo wa kinyama bado sioni nafasi yake tena kama rais mwenye heshima east africa .
hizo ni siasa, wanauana wao kwa wao na kushauriana kustaafu ili kushusha credibility ya UHURU
 
Nasa kwao ni mwezini warudi huko,wamesoma alama za nyakati kukwepa aibu ya kushindwa wamejiengua.Kama unajua we ni mshindi why ukimbie uchaguzi.
 
Siasa za kenya huzijui kabisa.

Musando aliuawa na mapenzi nje ya ndoa siyo na Uhuru.

Huyu Mama Roseline Akombe na IEBC Chair ni NASA moles sasa ulitegemea nini?

Mauaji hakuna aliyethibitisha hadi leo upande upi wahusika mengine ni wewe wayapika
Acha fiks mkuu
 
Back
Top Bottom