Uhuru J. Kenyatta ni mwanademokrasia?

Uhuru J. Kenyatta ni mwanademokrasia?

Uhuru Kenyatta ni mwanademokrasia?


  • Total voters
    19
  • Poll closed .
Uhuru Kenyatta sio mwana demokrasia bali amelazimika kukubali uamuzi wa mahakama. Kumbuka ule uchaguzi uliomweka madarakani kwa mara ya kwanza ulisababisha vurugu katika nchi ya kenya, watu wengi waliuawa, wengine ni vilema hadi leo. Uhuru Kenyatta na Ruto walifikishwa kwenye mahakama ya kimataifa. Kutokana na funzo alilolipata huko nyuma hana njia nyingine ya kufanya ila kukubali uamuzi wa mahakama kuu wa kutengua matokeo ya uchaguzi. Uhuru anajua kabisa nini kitatokea akipuuza hukumu ya mahakama kuu. Wapinzani walikuwa wametulia kwa muda wanasubiri hukumu ya kesi waliyoifungua kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi uhuru kenyatta. Kwa wanaofahamu na kufuatilia siasa nchini Kenya wanajua kabisa Uhuru hana ubavu wa kupinga hukumu ya kutengua ushindi wake
Baada ya zile fujo aliyekuwa Rais ni Mwai Kibaki sio Uhuru

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya zile fujo aliyekuwa Rais ni Mwai Kibaki sio Uhuru asante kwa kunisahiihisha ila ukweli unabakia paleale kuwa uhuru alishtakiwa kutokana na vurugu zile

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Uhuru Kenyatta sio mwana demokrasia bali amelazimika kukubali uamuzi wa mahakama. Kumbuka ule uchaguzi uliomweka Mwai kibaki madarakani kwa mara ya pili ulisababisha vurugu katika nchi ya kenya, watu wengi waliuawa, wengine ni vilema hadi leo. Uhuru Kenyatta na Ruto walifikishwa kwenye mahakama ya kimataifa. Kutokana na funzo alilolipata huko nyuma hana njia nyingine ya kufanya ila kukubali uamuzi wa mahakama kuu wa kutengua matokeo ya uchaguzi. Uhuru anajua kabisa nini kitatokea akipuuza hukumu ya mahakama kuu. Wapinzani walikuwa wametulia kwa muda wanasubiri hukumu ya kesi waliyoifungua kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi uhuru kenyatta. Kwa wanaofahamu na kufuatilia siasa nchini Kenya wanajua kabisa Uhuru hana ubavu wa kupinga hukumu ya kutengua ushindi wake
Mkuu nadhani unakosea mahali katika kuweka kumbukumbu sawa, uchaguzi uliomuweka yeye madarakani haukuwa na machafuko, uchaguzi uliopelekea yeye na Ruto kushitakiwa ICC ni ule wa muhula wa mwisho wa utawala wa Mwai Kibaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante umeeleweka ila ni uchaguzi huohuo uliomponza uhuru akatinga kwenye kizimba cha mahakama ya kimataifa
Mkuu nadhani unakosea mahali katika kuweka kumbukumbu sawa, uchaguzi uliomuweka yeye madarakani haukuwa na machafuko, uchaguzi uliopelekea yeye na Ruto kushitakiwa ICC ni ule wa muhula wa mwisho wa utawala wa Mwai Kibaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli lakini vurugu zile zilimwingiza matatani uhuru kenyatta hadi akashtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa
Baada ya zile fujo aliyekuwa Rais ni Mwai Kibaki sio Uhuru

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Hana hata chembe ya uanademokrasia maana amewatukana majaji hadharani. Kawaita wakora na kawaahidi atapambana nao akirudi madarakani. Hadharani kasema uamuzi wa watu 6 hauwezi kupindua maamuzi ya watu milioni 40. Maana yake haamini mahakama kuu yake. Na kama angekuwa na uwezo isingewezekana kubatilisha matokeo. Hana cha kusifiwa hata kimoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa kuwashambulia mahakama hakumsaidi hata kidogo na kuahidi kuwashughulikia...yawezekana huyu bwana alishinda kihalali ila sasa tume ilipotea njia namna ya kumalizia zoezi nzima...kwa upande mwingine Uhuru sio malaika ameona aseme ya moyoni ayashushe ili moyo wake uwe mweupe kujiadaa kwa raundi ya pili
 
Walioua ni chama chako cha majambazi.Mwaka wa uchaguzi kuanzia january mpaka may kila siku ajali za mabasi kutoa kafara watu,na kuua albino.Mungu atauangusha utawala wenu wa kishetani
Kulialia unarogwa kama Mjomba Maalim ni uchawi pia. Kwa bandiko lako na wewe umekidhi vigezo.
 
Vipi wadau,bado mnasema Uhuru ni mwanademokrasia?
 
Uzi wa kumponda tu rais Kenyatta. Ningependa kuona uzi huu, JPM vs U.Kenyatta:Nani mwanademokrasia zaidi ya mwingine?
 
Back
Top Bottom