Uhuru Jomo KENYATTA Ni Mandela Wa Pili Afrika

Uhuru Jomo KENYATTA Ni Mandela Wa Pili Afrika

Jamaa anaongea vzuri kiundugu kabisa, huyu mpumbani wenu sijui anavuta bangi, hajui kuongea na wananchi, ubabe mwngi, mikwala, duuh!!! "Sijataja mtu jina" ila namchukia sana ajifunze kutoka kwa jirani

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Ukiachilia Yoote aliyoyafanya Mandela na tukadhani hatuwezi kumpata atakaye fafana naye. Hakika Mungu katupa Mandela wa pili wa Afrika. Hakika UHURU JOMO KENYATTA NI MANDELA WA PILI. Baada ya maamuzi ya mahakama ameongea na kuwataka Wakenya wawe na Amani na kujua kuwa KENYA ipo hata kama yeye atakuwepo. Ujue kuwa kuna Jirani yako, ndugu yako hakika Uhuru nashindwa jinsi ya kumwelezea. Kikubwa ninachokuomba Rais wetu MAGUFULI badilika kwa kuona kuwa Wote sisi ni Watanzania na kila moja wetu anayo haki ya kusema na kushauri. Wapinzani wako wote ni WATANZANIA. Ondoa yale mawazo uliyonayo kuwa Tanzania ni CCM. Na bila CCM hakuna Tanzania. Jua kuwa tumejifunza mengi kutoka kwa jirani zetu Kenya. Usitupeleke tukaanza kuwaza kuwa mpaka watu/raia wafe ndio Amani ipatikane. Rais MAGUFULI tunaomba simamia na kuendeleza kupata katiba mpya. Utakumbukwa katika TANZANIA na dunia. Mabaya/ mazuri yote uliyoyafanya/unayofanya HAYATASAULIKA KATIKA VIZAZI VYOTE KAMA ILIVYO KWA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Nikuonye pia ukishikilia huu mwenendo wako wa sasa hivi wa kutokufuata sheria kufuata Uongozi wa Kagame au Museveni HAKIKA UTAISHIA PABAYA PAMOJA NA FAMILIA YAKO KATIKA UZEE WAKO. DUNIA IMEBADILIKA. Hakuna aliejua kuwa leo Kenya itakuwa hapo ilipo. UHURU JOMO KENYATTA alikuwa na madaraka yote kama uliyonayo wewe angeweza kutoa amri kuzuia hiyo mahakama kabla haijaanza na hata kuwaua lakini alichojali na kuweka mbele ni WAKENYA
Kwani Mandera nae aliiba kura?
 
Ufujaji wa mali ya umma wakenya wanakufa njaa turkana hawana maji, chakula shida, madawa tatizo wanaenda kupoteza pesa kwenye mambo ya kipumbavu kuna vitu vingine ukivifikiria kwa undani havina msingi, lazima Uhuru atashinda tena.
 
Yaani ni kama dollar billion 1 mlizitupa chooni, hiyo pesa ingetosha kumaliza shida mingi sana Kenya. Poleni
 
Acha ujinga, kaiba kura, nani kamuua Msando? Server zimeingiliwa. Huyo ndo Mandela? Au kwa kuwa una maruerue ya team ENL aliyejipeleka NRB? Nuksi ya Lowasa mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumfananisha Mandela na mambo ya kipuuzi
 
Chadema mnahangaika ninyii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] et mandela
 
tehe tehe tehe, mwizi anaposhikwa na ku surender anasifiwa, HII INATAKIWA IONYESHE JINSI GANI AFRICA IMEKOSA DEMOCRACY...
Kwani angeshindwa nini kuhalalisha wizi wake wakati uwezo huo anao. Yaani mtu kama wewe utakuwa ni ccm tu. Mbio za mwenge imewadumaza. Tunashauri mbio za mwenge ziondolewe ili WATANZANIA wapone
 
Ukiachilia Yoote aliyoyafanya Mandela na tukadhani hatuwezi kumpata atakaye fafana naye. Hakika Mungu katupa Mandela wa pili wa Afrika. Hakika UHURU JOMO KENYATTA NI MANDELA WA PILI. Baada ya maamuzi ya mahakama ameongea na kuwataka Wakenya wawe na Amani na kujua kuwa KENYA ipo hata kama yeye atakuwepo. Ujue kuwa kuna Jirani yako, ndugu yako hakika Uhuru nashindwa jinsi ya kumwelezea. Kikubwa ninachokuomba Rais wetu MAGUFULI badilika kwa kuona kuwa Wote sisi ni Watanzania na kila moja wetu anayo haki ya kusema na kushauri. Wapinzani wako wote ni WATANZANIA. Ondoa yale mawazo uliyonayo kuwa Tanzania ni CCM. Na bila CCM hakuna Tanzania. Jua kuwa tumejifunza mengi kutoka kwa jirani zetu Kenya. Usitupeleke tukaanza kuwaza kuwa mpaka watu/raia wafe ndio Amani ipatikane. Rais MAGUFULI tunaomba simamia na kuendeleza kupata katiba mpya. Utakumbukwa katika TANZANIA na dunia. Mabaya/ mazuri yote uliyoyafanya/unayofanya HAYATASAULIKA KATIKA VIZAZI VYOTE KAMA ILIVYO KWA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Nikuonye pia ukishikilia huu mwenendo wako wa sasa hivi wa kutokufuata sheria kufuata Uongozi wa Kagame au Museveni HAKIKA UTAISHIA PABAYA PAMOJA NA FAMILIA YAKO KATIKA UZEE WAKO. DUNIA IMEBADILIKA. Hakuna aliejua kuwa leo Kenya itakuwa hapo ilipo. UHURU JOMO KENYATTA alikuwa na madaraka yote kama uliyonayo wewe angeweza kutoa amri kuzuia hiyo mahakama kabla haijaanza na hata kuwaua lakini alichojali na kuweka mbele ni WAKENYA
Peleka upumbavu wako aturudishie Msando na Madam Odinga kwanza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom