Uhuru Kenyata ni mwanademokrasia kama Obama

Uhuru ametoa povu balaa.
Anamtishia jaji [emoji23][emoji23][emoji23]
Urais mtamu aisee

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
kweli Uraisi mtamu bratha...
sio kwa povu lile
😀
 
Mkuu, bado Kenyatta ni mdemokrasi sana. Kwa viwango vya Afrika.

Tatizo unalinganisha na USA. USA hata wakati wa Bush kulikua na mapungufu. Hata wakati Trump vilevile. But wale wapo mbele yetu sana.

Hayana matupu impact kwenye utawala unaofuata sheria.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe wakweli tu siyo jambo jepesi hata tu kukubali uchaguzi urudiwe ni hatua.
Nakupa mifano miwili ambayo siyo toka Africa, Herode aliposikia kuna mtoto amezaliwa na wakatoa sifa kadhaa wale Wataalamu wa nyota(Mamajusi) nawalipo mpiga chenga akaona isiwe tabu akafyeka vitoto vyote vya umri kuanzia miaka 2 hadi 0 ktk eneo husika ingawa hakufanikiwa.
Watu wakaimba Sauli kaua maelfu na Daudi kaua makumi elfu, kauli hii ilitosha kuugeuza moyo wa mfalme Sauli nakutaka kufutilia mbali Daudi atoke kabisa kwenye uso wa dunia.
Hata ungekuwa wewe ndiyo Uhuru sidhani kama furaha yako baada ya ruling ya mahakama ingekuwa kama ya Odinga kikubwa kakubali kurudi ulingoni mambo mengine na risk nyingine kwenye siasa sidhani kama zinaepukika kirahisi hivyo.
Hata kwenye nchi kama USA kina Snowden wanaishi uhamishoni kwa kusema ukweli.
Haya yalikuwako na yatakuwako tu hata Uhuru akinyamaza ila chini ya Carpet jamaa lazima awe makini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…