Hebu fafanua ni wakenya wagani wanaompinga WSR na pia ni ufisadi upi amejihusisha nao?Hapo kwenye red ndio inamwondolea sifa ya kuwa Rais wenu. Ufisadi umegharimu sana maisha ya watu katika nchi za Afrika.
Hata Uganda palikuwa pagumu sana, lakini kwa nguvu ya jeshi palilainika kama mkate
Mimi napenda sana siasa ya Kenya 2022 kuna possibility kubwa NASA na KANU wakaungana kama Jubilee watamsimamisha Ruto. Kura za Rift valley itagawanyika mara 2 hapo ndipo uwezekano wa Ruto kuwa Rais utakufa
Kumbe umetoka mlimani, bora umetuweka wazi, ninyi ndiyo walewaleeeeeeeeeeeeeMimi ni Mtu wa Mt. Kenya na slogan ni "Gûcokia guoko" yani to return the favour come 2022 to WSR hizo porojo zingine sijui umeokota wapi.
Sina cha kuficha na sisi ni wale wale and come 2022 WSR 5th President of The Republic of Kenya.Kumbe umetoka mlimani, bora umetuweka wazi, ninyi ndiyo walewaleeeeeeeeeeeee
Very tribal society, mtu amesoma lakini ukabila upo palepale, maana yake ni kwamba bado elimu haijawakomboaSina cha kuficha na sisi ni wale wale and come 2022 WSR 5th President of The Republic of Kenya.
Wanataka tumchague lofa kama Raila ambaye amechanganyikiwa zaidi ya ngiri eti ndo tuwafurahishe. Hilo sioni likitokea, wakenya tunafanya mambo yetu bila ya kutazama jirani yeyote ule. Jirani wenyewe wamechanganyikiwa wote. Tuna nini la kujifunza kutoka kwao jombaa? Chaguo lilikuwa kati ya U.K na RAO. Tukachagua the best suited man for the job.Sina cha kuficha na sisi ni wale wale and come 2022 WSR 5th President of The Republic of Kenya.
Tz ambayo ina amani na haina ukabila kinawachowazuia muongoze kwenye bara hili ni kokosa elimu au?Very tribal society, mtu amesoma lakini ukabila upo palepale, maana yake ni kwamba bado elimu haijawakomboa
Usalama, amani , umoja ni vitu muhimu kuliko chochote kile duniani, huwezi kutumia pesa yako, elimu yako au kuwa na furaha maishani kama utakosa hayo niliyoyatajaTz ambayo ina amani na haina ukabila kinawachowazuia muongoze kwenye bara hili ni kokosa elimu au?
Nyie wastaarabu na wasomi mbona hamuingozi Afriika ama kujikomboa toka LDC?Very tribal society, mtu amesoma lakini ukabila upo palepale, maana yake ni kwamba bado elimu haijawakomboa
Hawa ni Jirani wa kutuombea mabaya yatupate ili waipiku Kenya without breaking a sweat na hapa ndipo tunasema "Shetani ashindwe''.Wanataka tumchague lofa kama Raila ambaye amechanganyikiwa zaidi ya ngiri eti ndo tuwafurahishe. Hilo sioni likitokea, wakenya tunafanya mambo yetu bila ya kutazama jirani yeyote ule. Jirani wenyewe wamechanganyikiwa wote. Tuna nini la kujifunza kutoka kwao jombaa? Chaguo lilikuwa kati ya U.K na RAO. Tukachagua the best suited man for the job.
Jamaa yup? Moi Jr. Au Ruto? Kwa maoni yangu ni wakati wa-Kikuyu kurudisha fadhila Kwa mzee wa Kabarak.Dah hizi povu zote ni wazi huyu jamaa atakua rais....
Mkuu MK254,,yaani unavyomuelezea huyu Ruto kwa hapa Tz tunaweza kumlinganisha na Mzee Lowassa,,pia ninavyomuona ni kama mtu mwenye kibri,, msimamo mkali na asiyekubali kuyumbishwa/kushindwa.!Inamuondolea sifa ukiwa na mtazamo chanya, lakini Afrika watu wenye sifa za ufisadi ndio hupendwa sana. Ilmradi jina lako linatajwa tajwa na kuanikwa kwenye vyombo vya habari, hiyo imetosha.
Japo pia hamna kiongozi msafi hapa Kenya, wote mafisadi lakini wana wafuasi ambao huwambii kitu, hebu leo rais Uhuru adiriki kumfuta huyo Ruto ndio utajua kisa kilichomfanya chui awe na madoadoa, kwanza huko kuthubutu ndiko kulimharibia Raila maana alipogombana na Ruto akaishia maisha ya kwenye gizani na baridi.
Leo hii huyo Ruto ndiye ngao ya rais Uhuru, kwa kweli nakiri kwamba isingekua Ruto, Raila angeingia ikulu tena asubuhi saa nne. Lakini Raila akiwa waziri mkuu kwa unafiki akajifanya kupigana na Ruto kisa ufisadi (ilhali Raila mwenyewe mfisadi mkuu na amezungukwa na mafisadi wakubwa), sasa alimfuta kazi na kumuondolea nje nje, Ruto akacheza high voltage politricks na leo yupo anakunywa chai ikulu kama naibu wa rais.
Ruto amekua anatumia raslimali za serikali kujiandalia mazingira ya kuingia ikulu kama rais kwenye uchaguzi ujao, amekusanya viongozi wake, hata gavana wa Nairobi bwana Mike Sonko ni kibaraka wake, aliwafadhili viongozi wengi sana hata mkoa wa kati ambao huko ni mfupa uliomshinda fisi. Nilishangaa sana juzi bibi yangu kijijini anasema bora afe kwenye foleni lakini lazima ampigie Ruto kura.
Jamaa ni mjanja sana kisiasa na hili nalisema bila kutetereka yeye ndiye atakua rais baada ya Uhuru, labda Mwenyezi Mungu amchukue, lakini kama bado yupo hapa, hatuna jinsi, bora tujiandae tu kwa urais wake. Japo ni mzuri kiutendaji lakini mfisadi vibaya sana, yeye hunyakua bila kujali chochote, yeyote, au lolote.