EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
TOKA AMEKUA CDF USHAWAHI KUMUONA KAVAA NAVAL UNIFORMS?Kwani kuvaa sare ya Navy inamuzuia kutoka from special forces? Even our chief of staff of our defence forces is from the NAVY.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara mingi ,maana hio ndio sare yake ya kazi hawezi akavaa ya wanahewa ama ya army.TOKA AMEKUA CDF USHAWAHI KUMUONA KAVAA NAVAL UNIFORMS?
Muone hapo ndio huyo katika vazi lake rasmi la kaziTOKA AMEKUA CDF USHAWAHI KUMUONA KAVAA NAVAL UNIFORMS?
WE JAMAA UNAKWAMA SANA MABEYO LINI KAVAA SARE ZA NAVYMara mingi ,maana hio ndio sare yake ya kazi hawezi akavaa ya wanahewa ama ya army.
Sent using Jamii Forums mobile app
HUYO WA KWENU SIO WA TZMuone hapo ndio huyo katika vazi lake rasmi la kazi View attachment 1034011
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika nchi nyingi Navy zinaongoza kwa kuwa na wanajeshi wenye weledi wa hali ya juu.Rais Uhuru analindwa na askari wa Navy???? hii ni ajabu sana aisee
NAJUA UNAPOTAKA KUELEKEA MIMI NAZUNGUMZIA MAVAZI YA WALINZI WA WANAOSIMAMA KAMA MLINZI NYUMA YA RAIS, WOTE TUNAJUA YULE NI FIGURE TU WALINZI WAPO WENGI NA HAWAVAI UNIFORM.Katika nchi nyingi Navy zinaongoza kwa kuwa na wanajeshi wenye weledi wa hali ya juu.
Kaka achana na propaganda za wakenya, uchumi wa Tanzania na Kenya haupishani pakubwa, 2013 Kenya ilipofanya rebase ya uchumi wao, na Tanzania kufanya rebase 2014, tofauti ilikua $9B. Kuanzia hapo uchumi wa Tanzania umeongezeka kwa wastani wa 7% na Kenya 5.5%. Ni mtu mwendawazimu pekee atakayeeleea kwamba, four years later hiyo tofauti iwe imepanuka kufikia $20B, hao jamaa hata IMF wanawaambia kwamba hawazungumzi ukweli kuhusu uchumi wao.Kenya sababu inayoleta njaa ni kugeuza Ardhi kulima maua sana ambyo yanaingiza fedha nyingi wakiuza ulaya. Pia wana viwanda vyenye kuzalisha bidhaa za kuexport na wanapata pia pesa nyingi. Shida inakuja walioko kule juu kaskazjni ambao hawana ajira hawawezi kununua hiyo imported mahindi, hao watakuwa na njaa tu miaka yote. Kuna siku serikali italazimika kuwapa chakula bure. Hiyo ni athari ya Sera ya ubepari. Mgawanyo wa keki ya taifa hauwi wa haki sana. Sasa kama uchumi wa Nairobi peke yake unazidi uchumi wa Tanzania yote , unategemea nini. Lakini kwamba watakufa na njaa hapana tusidanganyane. Hata Marekani kuna watu hawawezi kupanga hata chumba cha kulala lakini haina maana kuwa tuna uchumi imara kuliko wale. Dlaspora remittance ya wakeya inazidi thamani ya mahindi yatakayoagizwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bahari ipo mbioni kubebwa na somalia sijui hiyo navy yenu itaamia lake Victoria?[emoji16][emoji16][emoji16]Kwani kuvaa sare ya Navy inamuzuia kutoka from special forces? Even our chief of staff of our defence forces is from the NAVY.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bahari ipo mbioni kubebwa na somalia sijui hiyo navy yenu itaamia lake Victoria?[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app