KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
katika kile kinachooneka kuanza kukimbia kivuli chake na kutokuwa na uhakika wa ushindi wake baada ya muungano wa coard kuwasilisha ushahidi mzito kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi wa kenya ambao ulipelekea tume ya uchaguzi kumtangaza uhuru kuwa rais.umeingia katika sura nyingine baada ya muungano wa jubilee kuungana na muungano wa amani ukiongozwa na mudavadi pamoja na wagombea wengine kutoka katika vyama vingine hii ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi wa duru ya pili.
Mytake.
Kama uhuru na muungano wa jubilee wanajiamini kuwa ushindi wa 50 + 1 ulikuwa halali kwanini wanaanya bumps?
1. Kama mahakama itabatilisha matokeo je uhuru bado atakuwa na sifa za kuwa mgombea?na vipi tume iliyoshiriki katika uchakachuaji bado itakuwa na sifa ya kuitwa tume?
2. Vipi wale waliotuma salaam chap chap watawithdraw salam zao?
Hili liwe somo pia kwetu katika uchaguzi ujao.
Jpili njema wanajf
Mytake.
Kama uhuru na muungano wa jubilee wanajiamini kuwa ushindi wa 50 + 1 ulikuwa halali kwanini wanaanya bumps?
1. Kama mahakama itabatilisha matokeo je uhuru bado atakuwa na sifa za kuwa mgombea?na vipi tume iliyoshiriki katika uchakachuaji bado itakuwa na sifa ya kuitwa tume?
2. Vipi wale waliotuma salaam chap chap watawithdraw salam zao?
Hili liwe somo pia kwetu katika uchaguzi ujao.
Jpili njema wanajf