Vijana wa Africa wametakiwa kusimamia imara kulinda Rasilimali za Nchi zao zinazoporwa kila siku
Uhuru amesema vijana ndio watakuja kuathirika baada ya kila Kitu kuuzwa
Ameahidi kuwaunga mkono Gen Z wa Kenya katika Mapambano ya kulinda Rasilimali za Nchi yao
Source Citizen TV
Kwako Chawa mkuu
Lucas Mwashambwa 😂