johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vijana wa Africa wametakiwa kusimamia imara kulinda Rasilimali za Nchi zao zinazoporwa kila siku
Uhuru amesema vijana ndio watakuja kuathirika baada ya kila Kitu kuuzwa
Ameahidi kuwaunga mkono Gen Z wa Kenya katika Mapambano ya kulinda Rasilimali za Nchi yao
Source Citizen TV
Kwako Chawa mkuu Lucas Mwashambwa 😂
Uhuru amesema vijana ndio watakuja kuathirika baada ya kila Kitu kuuzwa
Ameahidi kuwaunga mkono Gen Z wa Kenya katika Mapambano ya kulinda Rasilimali za Nchi yao
Source Citizen TV
Kwako Chawa mkuu Lucas Mwashambwa 😂