komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
mutua kilonzo ndio nani...bwahahaaaa...hyo kazi hta magavana wanafanya..si kitu cha kujipigia kifua...ndio raisi naye kaona jamaa wamezidi...kisa kaona upole utakuja mponza...ndio kaonelea ayaingie...ndio manake siku uhuru kaamua kuwa mkali...Hahahahaha, Mutua Kilonzo kafanya miaka sita iliyopita, ila Uhuru ndio amestukia sasa hivi na kuona ni jambo nzuri na ameamua kulifuatilia kwa nguvu baada ya kumuona Magufuli.
Uhuru tangu aanze hili zoezi ameshakamata ghost workers zaidi ya 5000, na ametangaza pesa alizokwishaokoa. Tafadhali tuletee ushahidi Mutua alikamata ghost workers wangapi na aliokoa kiasi gani?, wewe ni mwongo mkubwa, hakuna na Mutua wala nani, hili zoezi hapa Africa mwanzilishi wake ni Magufuli, wengine wanaharibu kumuiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
narudia tena..kazi ya ghost workers..hta magavana wanaifanya kw county zao...bwahaaaa...